Ni kweli kabisa..umetoa mfano hai kabisa. Nilishawahi kukutana na mama mmoja akaniambia ameshindwa kufanya biashara zake kimataifa kwakua hajui kiingereza japo ana ujuzi mzuri tu wa hizo bidhaa.
Habari zenu wanajukwaa la Story of change.
Katika uzi huu nataka kuelezea ulazima wa kujifunza lugha ya kiingereza kwa mtanzania hata asie na elimu kubwa. Hili suala huwa haliongelewi kabisa na kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana kuhusu lugha ya kiingereza.
JE, HUO UPOTOSHAJI UPOJE?
Hapa nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.