Mara Ngapi tuwaambie maana ya FARMERS LEAGUE??Mancity Hata achukue kombe back to back Mara kumi,haifanyi Epl kua Farmers League,
EPL ushindani upo na tunaona daily,Mancity Bora Sana,msimu wa pili mfululizo league inaamuliwa Siku Ya mwisho,
Liverpool ya Kloop Ilipata Points 99 na Bado...
According to data from World's Top Exports, Chinese exports totalled US$3.026 trillion in 2021. Exports to the US, Hong Kong, Japan, South Korea and Vietnam accounted for the biggest values, totalling 41.2% of all China exports. Source Google
Kuna mtoto wa ndugu yake na Mo alikataa Sponsorship ya kwenda kusoma MIT,dogo akaenda India kusomea Biashara,habari hiyo ikaletwa humu Jf,dogo alikua IST,ikaletwa list ya watoto na vyuo walivyoenda,ni Stanford,MIT, Havard,Uingereza na Marekani tu,
Kuna shule niliwahi kupiga kibarua Hadi Leo...
I'm still whipping in Bajaji's,sio kwamba sipendi gari,la hasha,uchumi tu,
siku nikipata Camaro Chevy,kishoka,miguu kwenye dashboard,speed 10,nyimbo mbili tu,Pamba nyepesi ya Inspector,au RIDING ya chameleon...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.