greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,245
- 2,121
Hapo nimekuonesha jinsi Havard ilivyo muwezesha kuwa 10 steps ahead of wenzake...Kutamka neno "wizi" haipunguzi intellect yake.U
Unasifia mwizi wa Havard so Havard inafundisha wizi,kujua kitu sio unitumie kuiba why usifanye mazuri zaidi ukubalike na utangaze jina la chuo chako
Kuna watu ni smart thiefs,Kuna watu ni smart hackers na kuna watu smart poison makers...Siye tunaangalia knowledge alipoitolea, Kufanya uharifu ni uamuzi wa mtu.
Hapo ndiyo uone gape la ubora wa elimu ya hapa na huko nje...