Nauliza Nina TV inamiaka nane ndani sijaitumia but niliyokuwa naitumia,,now imeungua,,je naweza itumia hii iliyokuwa ndani bila kuitumia muda?haiwezi ungua,nyaya ndani?
Kufuatia mvua iliyonyesha Jana kuanzia saa nane na kumi na mbili mpaka saa mbili usiku, imesababisha usumbufu kwa watu wa Mbezi ya Kimara, hakuna usafiri wa kwenda mjini, Muhimbili na Karikoo, mabasi ya mwendokazi na hayapo kabisa so vituoni wala barabarani.
=======
TAARIFA KWA UMMA...
Kufuatia masharti lukuki ya time ya uchaguzi,,nashauri CDM waende mahakamani kupinga,,maana usiwe na Simu na utakacho kiona Ndani ya chumba cha kupigia kura kiwe siri,,Cdm akili kumukichwa
Mh Kinyafu mgombea udiwani IATA ya Saranga kumara amewekewa pingamizi na mgombea Wa Cuf kutokufanya mikutano ya kampeni mpaka tare ya uchaguzi,,madai ni kutangaza kwenye mikutano yake kuwa Cuf hawana mgombea ktk uchaguzi huo
Wakuu kunariwaya nilisoma hapa siikumbuki,,inahusu kijana mtoto Wa tajiri alimpenda Msichana wao Wa ndani wazazi walivyogundua wakamfukuza yule binti na kijana akaoa mwanamke mwingine,,baadae wazazi Wa yule kijana wakapata Amalia wakafa,,plz nimesahau jina LA hiyo riwaya
Mkuu pole na majukumu yako, nakuomba utembelee kimara brt asubuhi kama saa kumi na mbili ukae mpaka saa tatu asubuhi.
Naomba watendaji wa brt wasikujue kabisa na wasijue kama uko pale,,jibadilishe usitambulike,,hata kama una usalama wako nao wasitambulike plz.
Kwanini nimekuomba ufanye hivyo...
Nimegundua nchi ya watu Wa amani wanaweza kuongozwa na mwanangu ,,,maana anaakili kubwa sana na vipimo vimefanyika ,,,vipimo au kipimo hicho ni hiki,,,mwanangu Jana na Leo nilitoka kwenda job,,Jana akaniagizia filimbi,,sikuleta maana sikupata,,nilivorudi tu home akaniuliza filimbi iko...
Dada mmoja amesahau password ya kufungulia simu,,,kajaribu Mara 24imejilock,,,inadai Nina LA mamake kama sawli LA security,, na google account na yeye hana na alive msetia hakumbuki,,,he nimsaidieje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunamahali watu kama watatu walinunua bomba kama mita mia ,,wakajiunganishia dawasco kwa fundi kishoka alafu wakaenda dawasco kuomba maji,,sawa wanawazuia watu wengine wasilitumie hili bomba kuombea au kuunganishiwa maji yaani wanawazuia watu wasilitumie,,he ni kosa?
Sent using Jamii Forums...
Wanachama wa JF,
Naomba kwa anaejua kuhusu hili jambo, kuna mmama yuko vicoba na Mwenyekiti wa hicho kikundi amekataa wasipige mahesabu, wala kuwapa vitabu vyao na wanataka ushauri wa kisheria wafanyeje?
Natanguliza shukrani,,nilikuwa unafanya kazi ktk sekta ya utaliii,,kwenye restaurant Fulani ya mwekezaji kwa miezi 6..naaingia asbuhi saaa tano mpaka saaa tano usiku,,,no malipo muda wa ziada..
Tatizo limeanzia hapa, baada ya kuona mshahara haukidhi mahitaji yangu..nikatafuta mahali...
Nafuatilia mafao hapa nssf ni balaaa..wanachama wanalalamika bupigwa tarehe ..kuna mdada alianza kufuatilia mafao take tangu mwezi was saba mpaka Leo decembar..hajapata ninini hiii jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.