Msaada Wa memory ya simu

Chuck j

JF-Expert Member
Jun 17, 2011
2,358
815
Mimi ninasimu aina ya tecno w5lite,,tatizo haina nafasi imejaaa,,nimenunua memory card ya 16gb,,nimeweka tatizo inasema no space,, nifanyeje?
 
Mimi ninasimu aina ya tecno w5lite,,tatizo haina nafasi imejaaa,,nimenunua memory card ya 16gb,,nimeweka tatizo inasema no space,, nifanyeje?
Nenda kwenye File Manager ukafute mafaili kwenye simu, maana kila unapoingia WhatsApp na mitandao mingine mafaili (kama picha, msgstore, voice notes, n.k.) yanajaza nafasi...
 
Back
Top Bottom