Wanaodhaniwa kushinda hawashindi wanaodhaniwa kushindwa wanashinda!
He nchi za kiarabu na pacific (Japan) confidence imeongezeka coz psychologically wanachikulia Qatar as home ground?
Just got the feeling will Arabs countries take Budweiser all beer stock should they win world cup?
2022 Qatar...
Kwa mfano Mimi muanzisha Uzi mchangiaji wa kwanza atakayeni"quote" mchangiaji wa pili atatakiwa ku comment Kwa kuunganisha jina langu na la Yule mchangiaji wa Kwanza, and the game continues, let's go..
Wakuu,
Tukubali tukatae kwa sasa kumekuwa na matukio mengi ambayo sio ya kawaida Kama vile Kuuwana, kufanya vituko vya kujiaibisha na mhusika akaona ni sawa nk nk.
Ukisoma machapisho kadha wa kadha mambo haya yakekuwa yakihusishwa na janga la Afya ya Akili. (mental health).
Kwa bahati mbaya...
Heshima kwenu wakuu,
Leo nimekumbuka jinsi Selfie Stick ilivyokuwa gumzo mjini. Slay queens na Ma brazamen ilikuwa kila weekend au kwenye event Full kukenua. Now it's gone unaonekana wakuja ulitumia hayo madude eti kushikilia simu ili kujipiga selfie.
Je mdau unakumbuka Teknolojia ipi au App...
Watu waishio dar huwa wananifurahisha sana sometime, tukiwa mikoan kwetu wanakuwa wakarim sana, mara utackia karib sana dar bwana, ukija usiondoke bila kunitafuta uje upaone hta ninapoishi ndugu yko, yaan wana maneno mengi htarii. Sasa ukifika mwenyew labda ulikuwa na mishe zako zimekamilika...
Ni mawazo binafsi.
Kutokana na wimbi la wabunge kujiuzulu na hivyo kulazimika Tume ya Uchaguzi kuitisha uchaguzi mdogo, ambapo inakadiriwa kwamba ni gharama kubwa kurudia uchaguzi jimbo moja.
Binafsi niishauri tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) kuweka sheria kwamba, ikitokea Mbunge/Diwani wa...
Nimepata mshtuko mkubwa na mshangao kwenye "Zaidi ya habari ya Channel 10" Ambapo leo maafisa waandamizi wa shirika la viwango TBS wamevamia kariakoo.Kuna solar panel unaambiwa imeandikwa kwa mfano wats 20 kumbe ni nusu ya uwezo wake, mbaya zaidi unaambiwa siku hizi wachina wanazifyatulia hapo...
Kilichotokea na kushuhudiwa kwenye kampeni ya leo viwanja vya Gymkhana Bukoba, naamini CCM leo hawalali usingizi..lazima wamechanganyikiwa. Kama ilivyotarajiwa umati ulojitokeza kupindukia ulikuwa gumzo..hakukuwa na malori, ma bus wala hakuna aliyeletwa kwa shuruti kuhudhuria mkutano...
Nimekuwa napata shida sana wakati wa usiku ninapokuwa naendesha gari barabarani, yaani nikipigwa taa na gari mbili tu basi naona maluweluwe tu, nalazimika kuwasha full light hadi mjini hivyo kuwa kero kwa watumiaji wengine wa barabara. Imefikia hatua nachukia kabisa kuendesha usiku. Je kuna...
Nilikuwa nasikia wimbo wa umri wa TMK Wanaume Family nikamsikia the late YP akichana ndio nikaanza kuwakumbuka majembe ya bongo fleva ambao hawapo tena hapa duniani.
Nimemkumbuka Geez Mabovu, Nimem miss Ngwair a.k.a Mimi, hasa kibao chake cha 'wikendi', ''kama wikend ndo tayari ishafika, watu...
Kama kuna kasumba ambayo ni pendwa kwa watanzania wengi ni kusogeza mbele miaka ya kuzaliwa na hivyo kupunguza umri halisi. Ni bahati mbaya sana mfumo wa tanzania unatawaliwa sana na rushwa, hata unapoandaliwa document kama cheti cha kuzaliwa au kadi ya mpiga kura ni wewe ndio unajichagulia...
Hii coincidence imekaaje, fiesta ilienda Musoma siku moja kabla ikatokea ajali kubwa sana iliyogharimu maisha ya watu40, zamu hii wanaenda geita majanga tena, majambazi yakavamia kituo cha polisi yakawaua askari wawili na kupora silaha, pia kuna familia moja imepata msiba mkubwa baada ya nyumba...
Utakuta hata mdada/female akiupdate status yake au aki change profile utaona...so and so updated HIS profile au dash dash changed HIS profile.
Swali langu ni je Facebook wameshindwa kabisa kutofautisha nale and female? au females hawatakiwi kuwa na FB account?!!
Kuna taarifa kutoka Kigoma kwamba shule maarufu ya Kigoma sekondary imefungwa kwa muda usiojulikana na wanafunzi wote wamerudishwa nyumbani kwa muda usiojulikana. Inasemekana sababu ya mgomo ni wanafunzi kupinga kutoruhusiwa kusoma preparation baada ya saa 5 usiku ambapo umeme huzimwa.
Sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.