Search results

  1. marcoveratti

    Jezi (Uzi) wa Manchester United kwa msimu ujao wa 2024-25

    Huu apa Uzi wa Manchester united msimu wa 2024-25 ugenini. Unaupa asilimia ngapi za ubora wa designs na muoneiano?
  2. marcoveratti

    Kwanini kuku anavuka barabara?

    Kuna maswali mepesi yenye majubu magumu sana, hasa yale yanayo uskana na nature , Maswali kama Binadamu alitokea wapi au Dunia uli anzaje, haya ni maswali magumu yenye majibu magumu au hayana kabisa, Kama utapata muda wa kufuatialia viumbe/wanyama hawa tunao wafuga majumbani basi utaona...
  3. marcoveratti

    Dunia iliishia 1999

    Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena...
  4. marcoveratti

    Niulize chochote kuhusu google Admob

    Mambo vipi watu wa Tech. Kwa uchache niwaeleze kuhusu google Admob, ambayo kwa namna moja au nyingine inaweza kua fursa. Kwanza kabisa google Admob ni child company ya google ,ambayo ina jihusisha na shughuli za matangazo(ADS) kwenye Apps Kinacho fanywa na google Admob ni kushare mapato...
  5. marcoveratti

    Estadio Santiago Dé Bernabeu, hekalu la soka lililobeba historia kubwa ya soka

    Katikati ya jiji la Madrid, kuna hekalu la soka linalo vutia na kuakisi historia tajiri isiyolinganishwa popote kwenye mchezo huu mzuri wa soka. Estadio Santiago de Bernabéu, ni maskani ya klabu ya Real Madrid, hauna haja ya kufafanuliwa sana kuhusu hekalu huli. Kwa hadithi zake za kuvutia...
  6. marcoveratti

    Anachoona kanji na tunacho ona mashabiki ni vitu tofauti kabisa

    Ukiingia mtaani mashabiki walio wengi wanaamini kwamba Yanga ndio ana mechi ngumu zaidi ya Simba , mashabiki wa yanga wali ingia unyonge baada ya Droo kupangwa. Huku wa Simba wakitamba kwamba mfupa wao washauzoea hivyo jambo lao wanalimaliza safari hii na mbwai ita kua mbwai afe kipa afe beki...
  7. marcoveratti

    Anayepigiwa simu na Mudathir apokee

    Kati kati ya kitongoji masikini chenye rate kubwa ya uharifu alikuwepo bwana mdogo alie itwa Gabriel teseka na penzi la mrembo mmoja wakishua alie itwa Skyle mrembo kweli kweli. Mara zote Gabriel alitolewa mbavuni alipo tupa nyavu kumpata mtoto Skyle.Gabriel alipiga sana simu hakuna hata moja...
  8. marcoveratti

    Kila story itamsifia muwindaji hadi pale simba atakapojifunza kuandika

    Kuna nadharia zaidi ya milioni moja kutoka mataifa na meaneo mbali mbali yenye kusimulia kuhusu uwepo nguvu isiyo ya kawaida , nguvu yenye uwezo wa kuumba na kutoa uhai.(supernatural power ) kutoka kwenye ngano hizo nyingi ndipo zinapo zaliwa dini nyingi , Ukiachana na ngano zenye kusimulia...
  9. marcoveratti

    Ligi ya mpira wa Tanzania sio dance floor

    Soka ndio mchezo ulio sambaa zaidi Duniani, ndio mchezo unao fuatiliwa na watu wengi zaidi na ndio mchezo una tengeza ajira nyingi zaidi kwa wanamichezo!, Kwanini? Sababu kubwa ni kua kwenye soka yoyote anaweza pasuliwa na yoyote, uwepo wa hili jambo ndio umepelekea kuibuka kwa betting...
  10. marcoveratti

    Time paradox

    Ipo nadharia ya kusafiri muda (time traveling), maana yake ni kua mtu anaweza kutoka leo au sasa na kwenda past yani jana au siku ama miaka ya nyuma. Yaani kama leo ni 2023, binadamu anaweza akasafiri muda na kwenda mwaka 1900 akawakuta watu wazamani mabibi na mababu walivyo kua wana fanywa na...
  11. marcoveratti

    The story of White Walkers

    Hapo zamani, kulikuwa na hadithi maarufu katika ulimwengu wa kufikirika wa bala la Westeros, ulimwengu wa series ya "Game of Thrones" iliyo zungumzia Usiku mrefu(the long night) na uwepo wa White walkers. Kuanzia sehemu ya kwanza mpaka simulizi hii inafika tamati, ime kuwepo habari ya "the long...
  12. marcoveratti

    Jana haikuwa ya kufurahisha ila kesho itakua njema

    Kwenye historia ya vitabu vya simulizi za watoto maafuru kama (FAIRLY TALE STORIES) ipo simulizi ya Daktari Frakenstain ambe inasa elezwa kuwa alikua na teknolojia ina weza kufufua wafu, Alitumia teknolojia hii kuridisha uhai wa mdogo ake alie julikana kwa jina la Inspector Jonathan. Historia...
  13. marcoveratti

    Watoto wa 2000’s, muvi yao itakuwaje 2025?

    Tangu Tanganyika ipate uhuru wake kamili December 1961 ni kama miaka 60 imepita huu ni wa 61.. Kutokana na sheria kua ili raia wa Tanzania awe na uwezo wa kupiga kura ni lazima awe angalau na miaka 18 hivyo tangu tupate uhuru kuna vizazi vitano tofauti ambavyo vime Timiza umri wa kupiga kura...
  14. marcoveratti

    Kuwa makini anayechapa kadi ya harusi

    Bibi Harusi alienda stationary aliomba achapiwe 1 Yohana 4:18 kwenye CARD YA HARUSI lakini mchapaji alifanya kosa kwa kutoweka "1" kabla ya Yohana hivyo akachapisha Yohana 4:18_ 1 Yohana 4:18 inasema "Katika pendo hamna woga, bali pendo lililo kamili hufukuza hofu zote"_ Lakini Yohana 4:18...
  15. marcoveratti

    The looting machine of Africa

    "The problem with Africa is those with power have no idea, and those with idea have no power" By proffesor lumumba Recent Nilikua nasoma kitabu kimoja kimaitwa THE LOOTING MACHINE OF AFRICA kimeandikwa na Tom Borgis, tofauti na maandiko mengi sana niliyo wahi kuyasoma yakizungumzia utajiri na...
  16. marcoveratti

    Ukimfumania mkeo na jamaa kitandani kwenye nyumba yako, maamuzi gani utachukua?

    Ukimfumania mkeo na jamaa kitandani kwenye nyumba yako, maamuzi gani utachukua? Share experience yako [emoji16]
  17. marcoveratti

    Rekodi za timu kutoka Africa kombe la Dunia 2022

    Rekodi za timu kutoka Africa kombe la Dunia 2022 .. [emoji3591]Ni mara ya kwanza team kutoka Africa inapata ushindi dhidi Ya bingwa mtetezi wa kombe la Dunia, Tunisia waki pata ushindi dhidi ya bingwa mtetezi wa 2018 France. [emoji3591]Timu za Africa zina weka Rekodi ya kupata ushindi mara...
  18. marcoveratti

    Rekodi ya matukio kadhaa yaliyotokea Qatar kwenye kombe la dunia hadi sasa

    Mashindano Ya kombe la Dunia Yakiwa Yanaendea Kuna Baadhi Ya matukio na Rekodi kadhaa ziliwekwa na Timu na wachezaji Binafsi.Hizi ni Baadhi Ya Rekodi katika mashindano. [emoji429]Qatar imekuwa timu Ya kwanza mwenyeji kupoteza mechi Ya Ufunguzi, Timu Ya kwanza Kuondolewa katika mashindano baada...
  19. marcoveratti

    Wapenda series got (House of Dragons)

    Ni series ya muendelezo wa ile iliyo tangulia ya game of thrones kutoka HBO.. Series ime base na House Tygaryan ambao ni dragons rider na rulers wa Seven Kingdoms za westoras ambao ki asiri wao walitokea the bara tofauti na westoras sehem the inaitwa Verylian. Miaka zaidi ya 170 kabla ya...
  20. marcoveratti

    Asili ya jina la Afrika na jina halisi la bara letu

    Hatupaswi kuendelea kuita bara letu AFRICA na kuanza kuita jina lake halisi la ALKEBU-LAN, kama jinsi ma babu zetu walivyo kua wakiliita hapo awali, ALKEBU-LAN lenye maana ya "ASILI YA UHAI DUNIANI" Jina la Africa halina maana yoyote wala hali akisi jambk lolote kutoka kwenye lugha zetu za...
Back
Top Bottom