Utumishi imebaki kivuli tu kwa sasa .
Mwaka jana Tuliitwa interview walikuwa wanahitaji 50 kwa kada yetu basi kwenda Dom tukapiga oral kuita kazini wakaita watu 19 kati ya 50.
Cha ajabu tulifanya oral zaidi ya 100 mpaka leo tunaenda mwezi wa 10 hakuna aliyeitwa kazini.
Mimi nimepoteza imani...
Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.