Search results

  1. james marco

    Kwako Heri James, mwenyekiti wa UVCCM Taifa

    Upo gizani sana sente using my infinix
  2. james marco

    Tuliowahi kupewa suspension tukutane hapa

    Mimi nikiwa advance wakati wa inspection ikakamatwa picha kwenye picha nilionekana nimeshika simu sasa descpline master alitaka hiyo simu niligoma sana nikaoigwa pendi week 3 ile narudi wakasema bila simu nirudi home nilikasirika nikawajibu labda nirudi home mwalimu nikawanunulie simu wakasema...
  3. james marco

    Natafuta mwanafunzi yoyote wa Chuo cha Ushirika Moshi

    Weka ni yako ya simu hapa kuna wadogo zangu wengi sana pale
  4. james marco

    Waziri Kamwelwe aagiza kukamatwa kwa anayeendesha mtandao wa “ATCL Aviation TV”

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama hakuna sheria tutamsumbua tu mpka wenzake wamuonee huruma
  5. james marco

    Msaada wasomi kuhusu Admission letter UDOM kwa Diploma

    Kuhusu admission letter msiogope nimeongea na waziri mkuu wa college frani alilifikisha hilo na kasema kulikuwa na changamoto kwenye system yao hivyo kasema soon zitakuwa tayari
  6. james marco

    Kuhusu kutumia single cpu with mult monitor

    Jamani napenda kuwauliza kuhusu kutumia CPU moja kwenye monitors tofauti ili kila moja ili kila client aweze ku access services mbalimbali make hapa nipo hapa nataka kufungua internet cafe msaada jamani
  7. james marco

    Mchumba anifikishi mwisho wa safari.

    Mchumba tena mnabanduana
  8. james marco

    NAOMBA msaada jinsi ya kubadili my profile name

    Boss mimi niliwahi kum pm 2017 mpk leo
  9. james marco

    Takribani wanafunzi 1,129 wame-disco UDSM na wengine zaidi ya 7,000 wanatakiwa kurudia mitihani yao

    Kwa UDOM hao kawaida sana sana tena wa college moja tu[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25] hali ni mbaya
  10. james marco

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Yaaaani nyie TANESCO mnataka watumishi waanikie nguo hapo kwenye waya wenu ety issue ina mwaka Tangu iwekwe
  11. james marco

    Mbeya City vs Dodoma City: Mpambano wa majiji yanayochipukia

    Dodoma ikifungwa UDOM na IRDP jiji linaenda likizo mpka November
  12. james marco

    MIKOPO YA HESLB

    Hackers washafanya yao huko rita uhakiki
  13. james marco

    Makazi ya Polisi a.k.a Wazee wa kupiga hadi kuchakaa

    Yaaaani hawa polisi kinachowafanya waendelee kulinda upuuzi ni hizo sare yaani sare kisaikolojia inakufanya ujione upo sawa tu maswala ya jezi mabaya sana
  14. james marco

    Magufuli aendesha mkutano kwa Kiingereza huko Namibia. Je, tumekosa mambo ya kuripoti?

    Yaaaani huyu jamaa sio kiswahili wala kiingereza Yani vyote chenga
  15. james marco

    Laptop inauzwa

    Ikiwezekana kufika dom nistue
  16. james marco

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nmb nimeomba card yangu iliopotea toka 7 January mpk leo
Back
Top Bottom