Search results

  1. MrProsecutor

    Jinsi ya Kutumia na Kusave PESA Kwenye Biashara au Kazi yako!

    Copywriting, safi kazana kuImprove kuhusu headline.
  2. MrProsecutor

    Wanaosema 'Money Can't Buy Happiness...'!

    The only thing money can't buy is UHAI tu, the rest unanunua including furaha. NB: usivalidate umasikini kwa kigezo cha furaha.
  3. MrProsecutor

    Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

    Gharama ya bidhaa mpaka kuwa tayari kuuzwa Gharama za uendeshaji wa biashara Ukitoa hizo zote ndo unapata faida ya 400k per day?
  4. MrProsecutor

    Scaling too fast is the problem (startup)

    Kuna Startups nafanya nazo, naona they don't need funding for now but CEO keep talking about fund, fund, fund. Overfunding is business killer. Ukiwa na fund nyingi ambazo kampuni haihitaji ni rahisi sana kumisallocate those funds u will be buying what you don't need because you have purchasing...
  5. MrProsecutor

    Scaling too fast is the problem (startup)

    Case study Sendy and Dash, now give me one example of successful Too Fast scaled and successful. Real growth.
  6. MrProsecutor

    Scaling too fast is the problem (startup)

    Umeongea ukweli kabisa, references zipo, Sendy ya Kenya scaling too fast and failed. Dash ya Ghana too much money $86+M and failed. So startups wengi sana huwa hawajui kama kuna muda hawahitaji fund bali wanahitaji kujistablize ili wawe prepared na wawe na real need of fund to scale out...
  7. MrProsecutor

    Scaling too fast is the problem (startup)

    Startups that scale too quickly fail. Yes or No Why?
  8. MrProsecutor

    chatGPT, Bard etc. Competitor (Grok) xAi

    Binadamu ana pande mbili za maisha binafsi na maisha ya kibiashara, tukiangalia mtu kwnye personal life kwasabb haituhusu watu wa nje tutaona weakness nyingi sana lkn ndo maisha naamini atawew side ya pekeako una mambo yako ambayo watu wakiyaona ni aibu so ni kawaida tu. Kwenye upande wa...
  9. MrProsecutor

    Mambo ya muhimu katika kukuza biashara (business diversification)

    Fanya uchunguzi wa kutosha juu ya bidhaa unayouza, ubora wake, muhimu zaidi wajue wateja wako ni wakina nani na hali zao za vipato zikoje. Mfno unaweza kuwa unauza mafuta mazuri sana ya nywele na yanamatokeo mazuri sana na target ni wadada ukienda fungua hii duka kijijini kweli kuna wadada...
  10. MrProsecutor

    Mambo ya muhimu katika kukuza biashara (business diversification)

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaa, alivyopata mgao wa Paypal akagawa mayai yake kwa Tesla, SpaceX, Solacity etc.
  11. MrProsecutor

    chatGPT, Bard etc. Competitor (Grok) xAi

    Elon Musk ameachia kitu chenye real time info zikitoka direct from X (FKA Twitter). What is your views?
  12. MrProsecutor

    Mambo ya muhimu katika kukuza biashara (business diversification)

    Elon Musk anasema "It's OK to have your eggs in one basket as long as you control what happens to that basket." [emoji23][emoji23]
  13. MrProsecutor

    Mambo ya muhimu katika kukuza biashara (business diversification)

    Ciao famiglia, come stai? Leo tuongelee kidogo kuhusu business diversification. Ulimwengu wa sasa katika ushindani wa biashara, diversification ni key mojawapo ya kukufanya uendelee kukua zaidi na kuwa imara sokoni. Diversification ni pamoja na kuongeza wigo wa biashara kwa kuIntroduce bidhaa...
  14. MrProsecutor

    Biashara gani naweza kufanya kwa mtaji wa Million 3?

    Kila biashara ni nzuri ukiambiwa, lakini ukishaanza ndo utajua ipi kweli ipi sio kweli. Cha muhimu, biashara yoyote ambayo utaichagua hakikisha unaielewa Value Chain yake vizuri then hapo unaweza kujua faida utapata vipi kwa kushika wapi lakini usisahau, biashara ni ngumu sana tofauti na maneno...
  15. MrProsecutor

    Je, nifanye Kilimo au biashara kwa mtaji chini ya milioni 1?

    1. Fanya kitu ambacho una ujuzi nacho ili kuepuka kujaribu. 2. Biashara huwa inachukua muda mpaka kuanza kuona faida. 3. Ijue biashara unayotaka kuifanya nje ndani ili iwe rahisi kufanya
  16. MrProsecutor

    Nina mpango wa kuuza mali zangu baadhi nijikite kwenye Biashara

    YOU ARE RESPONSIBLE FOR YOUR LIFE 100% kitu ambacho nimewahi kujifunza in a hard way ni kwamba, no one is going to save you. Binafsi, kama umeamua hivyo ni sawa lakini zingatia yafuatayo 1. Its okay to take risk but calculated risk 2. Work smart sana, kusanya informations za kutosha ili...
  17. MrProsecutor

    Ushauri: Milioni 5 ni kiwango ambacho hunisumbua kukivuka, Nifanyeje ili nivuke hii hatua?

    Pole mkuu, kuendesha biashara mpaka iwe successful kuna prices za kuPay ambapo mojawapo ni hasara and from there hutarudia tena kosa.
  18. MrProsecutor

    Biashara ya kwenye maandishi tamu sana

    Yaah, utaskia Sky isnt the limit[emoji23][emoji23][emoji23] wakina nanananiaje. Actually their business is selling words huo ndo upande wao wa Entrepreneurship but personally mtu ambae anarun business real akiweka fee nilipie kumsklza i will sio hawa ambao hawajawah kuuza ata pipi. You don't...
  19. MrProsecutor

    Biashara ya kwenye maandishi tamu sana

    Wabongo pia wengi sana wajanja wajanja sana nadhani unaelewa, wapo wachache real ila most of them wajanja wajanja sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom