Aibu ni kitu ambacho ni cha asili kwa baadhi ya watu huwezi kutumia neno aibu za kishamba.We mwenyewe unayoyafuata hayo uheshimiwi.Acha kukariri maisha
Hiyo PhD Sponsor ni wewe mwenyewe?,ungekuwa chuo kikuu hiyo PhD ndio ingekuwa na maana.Ungetumia huo muda wako kujjtafuta zaidi kuliko kwenye PhD.Kama ujuavyo PhD inaweza kuextend muda zaidi ya hiyo miaka 3 ambayo bila shaka wewe ndio unaipigia hesabu kuwa utasoma PhD.Achana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.