Kwa hiyo unataka kabisa ndgu yangu watu watoe mpaka siri za mifumo ya kiintelijensia nchini kwao? au waanike siri zao kama komando wenu muuza madafu Never happen in this World!
Lilikuwa ni Swala la Muda tu hawa ndgu zetu wa Kobazi tokea Iran Kucheza na Taifa Teule la Mungu Israel ona sasa wavaa kobazi wa Iran wanatolewa Kamasi😂😂😂
Nyie mnasema mnampa sijui Ipad sijui Kitochi mimi hata KISWASWADU simpi kwani usipompa atakufa michezo atacheza na wenzake na games ntamunulia matoy na SUDOKU/PUZZLE kwa ajili ya kukuza uelewa hayo mengine acha niwaachieni nyie wazazi wa dotcom
Wewe miaka yako ya Experience wala hata haitutishi Bwashee swali langu ni kwa nini Serikali yenu inakopa fedha kwenye hyo mifuko ya wanachama kununulia Ma V8 7th Generation alafu unatetea Ujinga kabisa hapa kama hyo paragraph yako inavyojieleza kuwa wanachaka waishauri serikali iongeze asilimia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.