Search results

  1. M

    Maafisa Utumishi wanaleta utani juu ya Watumishi kupanda madaraja, angalia kinachoendelea baadhi ya Halmashauri

    Anatakiwa ayasimamie maagizo yake kikamilifu hiyo ndiyo sifa ya kiongozi
  2. M

    Maafisa Utumishi wanaleta utani juu ya Watumishi kupanda madaraja, angalia kinachoendelea baadhi ya Halmashauri

    Wanabodi, salaam sana kama ni kweli kuwa hii ndio idadi ya watumishi ambao wameshaingizwa kwenye mfumo mpaka sasa hivi, basi nchi hii tunahitaji maombezi makubwa, pia inaonyesha kuwa baadhi ya halmashauri hawajatuma kabisa hata idadi ya watumishi wanaostahili kupanda. Yaani pamoja na mikwala...
  3. M

    Rais Samia: Nimepigiwa sana kelele kuhusu Katiba, ila kwa sasa tusahau kwanza

    WanaJukwaa, Rais Samia wakati akiwaapisha Mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza. Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu? Haki huinua taifa. Pia ni zaidi ya mara mbili mama huwa...
  4. M

    Deogratius Kisandu wa BAVICHA ajiuzulu uanachama CHADEMA

    When Don Nalimison was at the peek
  5. M

    Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Msifanye makosa kuchagua kiongozi kwa kujaribu, mtapoteza miaka mitano bure!

    Magufuli akiwa wilayani magu ameonyesha kauli za kuwatisha wapiga Kura kuwa wasipomchagua mgombea wa CCM wasijekumlaumu, imefichuka kuwa siri iliyopo nyuma ya pazia ni kwamba anataka apate wabunge wengi iwezekanavyo ili hata pale linapokuja suala la kubadili katiba asalie madarakani kusiwe na...
  6. M

    Heavy studying materials available here

    pata material mbalimbali ntakuwa na update
  7. M

    Uchaguzi 2020 Itilima! Itilima! this is too much! badilikeni haraka la sivyo muda utawabadilisha!!!

    Wanabodi hakuna jambo lolote linalohusu masuala ya kifedha linalofanyika wilayani Itilima bila kuwa na harufu ya upigaji, tangu watu wamalize uandikishaji hawajapewa fedha yao, ukiwauliza wanakuambia wanasubiri mwongozo toka tamisemi. Aisee oneni aibu basi mbona wilaya nyingine wamepewa...
  8. M

    Wale mananga wa KWATA tukutane hapa

    kudadeki abdulkadir vemper alikuwa noma yule mshenzi, alikuwa akiamua kuamsha masongi ni noma.
  9. M

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    kwa akili zetu watanzania labda raisi ampige mtu risasi hadharani
  10. M

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    jibu swali, watanzania bwana, yaani swali juu ya swali.
  11. M

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    kama atapitishwa, anaweza kufungiwa mpaka mchakato uishe
  12. M

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    nchi hii inabidi iingie kwenye vitabu vya maajabu mkuu
  13. M

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Huyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani...
Back
Top Bottom