Wanabodi, salaam sana kama ni kweli kuwa hii ndio idadi ya watumishi ambao wameshaingizwa kwenye mfumo mpaka sasa hivi, basi nchi hii tunahitaji maombezi makubwa, pia inaonyesha kuwa baadhi ya halmashauri hawajatuma kabisa hata idadi ya watumishi wanaostahili kupanda. Yaani pamoja na mikwala...
WanaJukwaa,
Rais Samia wakati akiwaapisha Mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza.
Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu?
Haki huinua taifa.
Pia ni zaidi ya mara mbili mama huwa...
Magufuli akiwa wilayani magu ameonyesha kauli za kuwatisha wapiga Kura kuwa wasipomchagua mgombea wa CCM wasijekumlaumu, imefichuka kuwa siri iliyopo nyuma ya pazia ni kwamba anataka apate wabunge wengi iwezekanavyo ili hata pale linapokuja suala la kubadili katiba asalie madarakani kusiwe na...
Wanabodi hakuna jambo lolote linalohusu masuala ya kifedha linalofanyika wilayani Itilima bila kuwa na harufu ya upigaji, tangu watu wamalize uandikishaji hawajapewa fedha yao, ukiwauliza wanakuambia wanasubiri mwongozo toka tamisemi. Aisee oneni aibu basi mbona wilaya nyingine wamepewa...
Huyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.