Ndugu wana JF natumai mko salama kabisa.
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kujua mchango wa wataalam wetu juu ya janga la corona ama covid19?
Wakati mataifa mbali mbali yakihangaika kutafuta tiba kudhibiti hili gonjwa la covid19.
Wataalam wetu hapa nyumbani wameonekana kuwa kimya au...
Habari za mchana ndugu zangu.
Naomba mnisaidie jambo moja. Ni jinsi gani naweza jua kuwa nimeitwa ktk usaili kupitia website ya umishi?
Wengi walinielekeza niangalie matangazo.. sasa nimepata shida kidogo kwani matangazo ninayo yaona kwenye website ya utimishi(ajira portal) ni yale yenye nafasi...
Habari za siku ndugu zangu.
nahitaji kufaham ni jinsi gani utajua umeitwa kwenye usahili kupitia utumishi webiste au ajira portal?
Wanapiga simu? Unatumiwa email? Au kuna njia nyingine ndani ya website unaweza ona majina ya walioitwa kwenye interview?
Sent using Jamii Forums mobile app
kama ilivyo ainisha hapo juu, kwani wanawake wengi mmekuwa mkilalamika mnakosa wanaume wa kuwaoa, yawezekana sababu ni kuwa haujawa na sifa za kuwa mke lakini unasifa za kuwa refreshment tool.
sifa za kuwa mke ni kama zifuatazo- yaani sehemu sahihi ya kuendeleza kizazi.
1. MAVAZI-mavazi ya...
Za asubuhi wanajamvi,
Natumai mmeamka salama,
Natumai nyote mmeshakuwa kwenye mahusiano na watu ambao kutokana na sababu mbalimbali mahusiano hayakufikia lengo na kupelekea kuachana lakini pia uliwezaje kukabili hisia pale ulipota habari kuwa yule mliechana nae anaolewa au anaoa?
Nimetembelea website ya nacte . nikaona kuna udahili ulifanyika march- april 2017.
Hii inamaanisha udahili mwingine hautafanyika tena mpaka 2018 march ?
Je ule udahili wa katikati ya mwaka haswa hua unaanza mwezi wa 5 na wa 6 , safar hii utafanyika?
Inawezekana kukawa kumetokea kutokuelewana baina yenu, mkaachana. Ukiwa nje ya uhusiano wako, ukagundua kwamba chanzo cha matatizo yote ni wewe. Inategemea umemfanyia nini? Labda umemtukana sana, umeharibu samani zake nk, lakini mwisho wa siku unagundua kwamba wewe ni chanzo cha matatizo hayo ya...
Many of us have been through it… dating what we casually refer to as a “crazy” woman. If you live and date long enough, you might meet a woman who is emotionally or psychologically/emotionally abusive and non-reciprocating.
To be clear, this is not an attack on women in general. This is a...
Habari za mchana ndugu zangu.
katika mada ya leo, kuna kawaida ambayo si rasmi imejijenga kwa mtu akishagundua anapendwa. Anajaribu kumtikisa mwenzake ili kupima tu ule upendo kutoka kwa mwenzake. Anajaribu kufanya jambo ambalo anajua kabisa hata haliwezekani katika hali ya kawaida, yeye...
Mapenzi/Mahusiano ni kama chuo/darasa, unapata mengi ya kujifunza toka
kwa mwenzako uliyenaye kwenye huo uhusiano. Mnaweza achana kwa makubaliano mazuri au kwa vurugu na dharau pamoja na kejeli kibao.
Hutokea mara nyingi mmoja wenu akarudi kama rafiki mwema aliyebadilika na kuhitaji nafasi ya...
Topic ya leo tunaongelea kuhusu toxic people, na jinsi ya kujua kama upo katika mahusiano na mtu toxic. Nikisema mtu toxic namaanisha wale watu ambao wanakuumiza akili, moyo, confidence yako na hata mawazo yako. Hizi ni njia 5 tu ambzo zitakusaidia kujua kuwa huyo mtu ambaye upo naye katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.