Njaa ni balaa aisee . Namshukuru Mungu hela ya kula hainitesi na nalisha watu kadhaa bila mimi watakaa njaa .
Ila mapito niliyopita ni noma
Mungu akupiganie
Kwanini wewe ukaombewe . Si uombe mwenyewe. Yesu ni njia ya ukweli na uzima . Tunapoomba kupitia Maria Maria hapeleki kwa Mungu bali anapeleka kwa mwanae kwahiyo hakuna kilichobadilika bado Yesu ni njia tu kwahiyo kama unabisha ni ukorofi tu.
Mdogo wangu na familia yangu ndio mashahidi wa hili maana niligombana na mdogo wangu na kumfukuza kitu ambacho kiliwashangaza na kumwambia asipotubu ataangamia . Sasa alipoenda na kutokea lililo tokea basi familia ndio ikashtuka hee .
Kumbe nilichukua hatua sahihi. Nisinge mwambia na...
Habari ndugu zangu. Wakubwa shkamoo......
Ushawahi kujiuliza maisha yangekuwaje bila Dini?
Leo nimewaza nikawazua na kuangalia mifano iliyohai kuhusu uhusiano uliopo kati ya mtu kuwa na roho ya utu au ubinadamu na Dini. Baada ya uchunguzi wa kina nimegundua bila Dini ubinadamu na utu vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.