Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,402
- 95,938
Madrasa zimekuwa ni production za ujinga.Unaweza kukuta hata wewe ni msomi. Kama umefika hata form four na kupata walau D mbili basi inashangaza.
Ajali imesababishwa na hali mbaya ya hewa angani ambako eneo hilo lina hali mbaya ya hewa isiyotabirika sasa Netanyahu wako anahusikaje?
Kwamba Netanyahu ndiyo amepeleka hali mbaya ya hewa Iran?
Hii nchi no wonder haiendelei kwasababu ya kuwa na watu wengi waliokatwa vichwa wanatembea na viwiliwili pekee.