Zanzibar mpaka ina Rais wake na bendera yake, sasa atashindwaje kujiita mzanzibari!
Zanzibar ni Nchi
Tanzania ni Nchi
So, ana haki kusema yeye ni mzanzibari, na sio Tanzania
Wabarikiwe
Historia ya kusadikika, mzungu amejua kuwakamata kweli kweli, ni zamu ya wale walioshirikiana na makafiri wa kizungu kufanya biashara hiyo, wajitokeze kuomba radhi
Waombe radhi kwa kitu ambacho hawajakifanya! Wewe endelea kuamini tu waarabu walishiriki, ila wenye elimu zao wanajua kama waarabu hawakuhusika.
Waarabu wabarikiwe sana
Hilo haliwezekani, kupsmbana na hamas hawezi, anachoweza yeye ni kuuwa watoto, na hilo kafanikiwa. So Huyo atakufa kifo cha kidhalili sheikh, laana ya Allah iwe juu yake kafiri huyo
Hii nimeipata sehemu, jioneeni wenyewe.
Tumeambiwa na Kusomeshwa kuwa Waarabu ndio walioanzisha Biashara haramu ya utumwa Nchini Zanzibar (Na Waarabu hili Walikataa katakata). Leo Wazungu wenyewe Wanakiri kuwa wao ndio walioanzisha Biashara ya utumwa hiyo haramu ya utumwa Nchini Zanzibar, na...
Wayahudi na silaha zao, na teknolojia yao ila wameshindwa kupambana na Hamas, kazi kuuwa watoto, wamama, wazee na kuomba msaada nchi za magharibi zije kusaidia kuuwa innocent people, hiyo ni akili kweli!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.