Hii nchi imejaa majitu ya ajabu sana, majitu yenye roho za kwa nini,machawi,yenye wivu,husda na kuombea wengine mabaya Pumbavu kabisa,
Kuna mapumbavu ,linaweza likaenda hotel,bar au sehemu limealikwa au limetolewa out kwa uzuri tu,Ila likafika sehemu husika vizuri tu,kwanza likashangaa...
Habari za juma pili wakuu, wacha leo niwakumbushe kidogo vijanajuu ya kupata wenza wanaokaa makwao.
(1) Usioe binti ambae kwenye familia yao mama ndio Kila kitu. Yaani mama ndio mwenye sauti kuliko baba, akitoa neno tu mpaka baba anaufyata.
Hapo usijaribu kusogeza pua kutaka kuoa, hiyo inakuwa...
Habari zenu wana Jamii Forums
Twende moja kwa moja kwenye mada, Vijana wa leo wamekuwa wakurupukaji na malimbukeni,kwenye swala kuoa
Wamejikuta wakioa watu wenye jinsia za kike na si wanawake, matokeo yake kuyumbishwa, kupelekeshwa na kurudishwa nyuma kiuchumi.
Wengi huendeshwa na tamaa na...
WATU WENYE ROHO MBAYA NDIO WANAOFANIKIWA MAMAISHANI.
Dunia imebeba watu wa kila aina,wachapa kazi ,waviviu,wanyonyaji,majizi ,wachawi nk.
Kuna makundi ya tabia mbali mbali, kuna wapole ,wenye roho mbaya,wakali,wasamalia,wenye roho nzuri nk.
Sasa basi hapa nawazungumzia watu wenye roho...
Haka kajamaa kanaoa huyo mwanamama.
Sasa najiuliza je, ni kweli amekapenda kamshikaji au ni kujitoa kimasomaso a.k.a kutoa gundu? Maana huo mzigo naona kama ni over size
Huyu jamaa nimemkumbuka na kile kibao chake cha VITUKO uswahili,
"Uswahilini ukioga mchana utaulizwa, unakwenda wapi"
"Uswahilini mtu ananawa miguu wakati miguuni hajavaa kandambili,akimaliza tu anakanyaga chini"
Huyu dogo alikuwa na kipaji sana sijui yuko wapi?ⁿ
Salaam waungwana
Wakuuu mwenye kuijua hiyo gari tajwa anisaidie uimara wake na upatikanaji was spea,naona imenivutia sana sasa kabla ya kufanya lolote ningependa kupata ushauri wenu wajuvi wa magari
Habari zenyu bana,
Watu wengine wanashangaza sana, unakuta limtu limehangaika Kwa
muda mrefu kuijenga nyumba yake kwa hali na mali,mwisho wa siku linakuja kukubali ibomoke kirahisi rahisi tu wendawazimu huu.
Mtu ulikuwa hohehahe wa kutupwa kama ganda la muwa liloisha utamu,wakati huo hakuna...
Kwenye hotuba ya leo ya Magufuli, amewaambia watu wa Kigamboni kuwa wakimchagua na kuwa Rais atafuta nauli ya kivuko na watavuka bure kasoro magari.
Hivi alipowaambia kama hawataki kuongezewa nauli wapige mbizi alikuwa anamaanisha nini? je, walikuwa sio watu wa Kigamboni? au ndio kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.