Baada ya ccm kuambulia watu 23 kwenye mkutano wao wa leo maeneo ya uwanja wa stadium bar ... Mkutano ambao wananchi wa arusha wameufananisha na kikao cha send off....
Pole nyingi kwa Ole sendeka na Mary Chatanda manake wamekuwepo eneo la mkutano toka sa 5 asubuhi bila kuambulia watu...
Happy birthday to you
Happy birthday to you
Happy birthday dear Erickb52
Happy birthday to you!!!
How old are you now
How old are you now
Happy birthday, happy birthday
Happy bitthday to you!!!
Dear Erickb52
Hoping that this day will be a special one for you,
A day for...
Wapendwa wana chit chat kuna huyu memba anaejiita Arushaone .......daaaah jamani sio mchoyo wa kutoa like......hebu na tumpe hongera zake manake hana mpinzani chit chat na majukwaa mengine kwa sasa.....yaani mie ananishangaza kwa kweli.....huyu mwenzetu sijui atakuwa anatokea kabila lipi...
Nimeamini raha ya upendo ikipotea huwa karaha!
Sikutaraji kama leo hii nitabaki na jeraha!
My number one fun tatizo ni wewe umefanya anitose!
Wakati bado nampenda nafsi imejaa upendo wake!
My number one fun tatizo ni wewe umefanya anitose!
Wakati bado nampenda nafsi imejaa upendo wake...
Happy birthday to You!
Happy birthday to You!
Happy birthday dear Vin Diesel!
Happy birthday to You!
How old are you now?
How old are you now?
Happy b'day happy b'day, happy b'day to you!
Dearest Mwenyezi Mungu akujalie afya njema, akupe maisha marefu yenye furaha, amani...
A simple celebration, a gathering of friends, here is wishing you a great happiness, a joy that never ends!
May your birthday be filled with sunshine and smiles,
laughter
love
and cheer!
I hope that for every candle on your cake you get a wonderful suprise !
:A S 465:Happy...
Happy birthday to yo !:A S-heart-2::A S-heart-2:
Happy birthday to you!
Happy birthday dear Erickb52 happy birthday to yo
How old are you now, how old are you now, happy...
Tumepata kuandika na leo tunaandika tena tukimsisitiza Rais Jakaya Kikwete na washauri wake kupunguza safari za nje ya nchi kikazi wakati taifa likiwa kwenye hali tete.
Licha ya misafara yake kulalamikiwa ndani na nje ya nchi kwa sababu ya kuongozana na msururu wa watendaji ambao wengine hawana...
1. Kujiita romantic wakati uko single.
2. Kung'arisha viatu wakati unaenda kupiga passport size.
3. Kukaa kiti cha mbele karibu na dereva halafu unamwambia konda shusha.
4. Kumwamsha mgonjwa ili umpe dawa ya usingizi.
5. Kupigiwa simu hafafu unaangalia balance yako.
6. Kutafuta...
Jesus is the king, because in HISTORY he is the rock of ages, in BIOLOGY he raised the dead from death, in CHEMISTRY he changed water into wine, in MATHEMATICS he balanced 2 fishes and 5 loaves of bread being eaten by 5000 men, in CIVICS he is the wise man with wisdom, in PHYSICS he broke the...
New National Babu Hospital- Loliondo. Inatangaza nafas za kaz.1. Kuchochea kuni, nafasi 50!.2. Kubeba ndoo za maji kwa kchwa toka A town, nafasi 15 tu!3. Kumpa bau kampany ya kubeba dawa nafasi 4 tu. 4. Ku2nza jero, jero za babu nafasi 2 tu! Wahi sasa. Kwa wale waombaj wa kwnz watapata nusu...
A strong woman knows how 2 keep her life in order. Even wth tears in her eyes, she still manages 2 say 'I'm Ok' wth a smile. Send this 2 a strong woman. Happy Woman Day to woman wote wa Jf.
Habari wana jamii wenzangu. Nimeolewa, kabla sijapatwa na mkasa ninaotaka kuwaeleza nilikuwa namuamini sana mume wangu. Mwaka jana mwezi wa 6 nikagundua kuwa ana mwanamke (mama mtu mzima ) Kuanzia hapo moyo wangu umekuwa mgumu sana kumwamini ingawaje tulishayaongea na alikiri na kuniomba sana...
Nawapenda woooote humu ndani!Zaidi sana kwa wote wenye kuitakia mema cdm! Nimekuwa msomaji mzoefu wa jamii forum ila ckuwahi kujiunga. Nimeamua kujiunga rasmi ijumaa ya last week so hope mtanipokea kwa mikono miwili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.