Mii nlikopa nkafunga mkeka ukaliwa... Halafu wakaanza kunidai na hela yenyewe sijaishika...
Nliwambia waifate sport pesa wamekulana wao kwa wao mii nlibonyeza simu tu, lugha zikagongana naona mpaka leo kimya!
AFPCopyright: AFP
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amemteua mtoto wake, Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF).Gazeti la Daily Monitor la Uganda limeripoti.
Anachukua nafasi ya Jenerali Wilson Mbasu Mbadi ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa biashara katika mabadiliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.