Wakuu salaam sana,
Wiki jana TMT ilikuwa Mwanza na siyo watu wote walipata fursa ya kuhudhuria.
Naamini wanaBukoba, Karagwe, Muleba na Misenyi ni watu wenye mwamko mkubwa katika maswala ya kielimu. Na hii fursa ya kielimu na kifedha si ya kukosa na haiwezi kutupita wana Bukoba.
Hatujawahi...
Chelsea iangalie vizuri isije ikamaliza ikiwa namba 10. Ukifungwa na Palace na Banley maana yake uko weak sana. Msimu uliopita ili kuchukua ubingwa tulipoteza mechi 2 tu. Sasa hata round ya kwanza haijaisha tumeshapoteza mechi mbili na drop moja. Kiukweli we are not among the tittle contenders...
Ugumu unatoka wapi? Mbona Chelsea umechezwa mzuri? Possession 54 kwa 46, shots nyingi kuliko Arsenal?
Penalties are penalties and will remain to be penalties. Nashangaa mtu anaanza kulaumu eti sijui nini Wala nini! EPL mtu mwenye kikosi zaidi ya Chelsea ni man City Japo atapata shida kuunda...
Bado hujakua kijana, yani ukija kukua kiakili utajidharau sana ukiona hizi thread zako.
Mambo ya kwenye ndoa yanaishia ndani, yani ww na mkeo. Mm nashangaa mtu na mkewe wanashindwa kusuruhishana alafu eti wazazi au viongozi wa dini wakija ndo wanawasuruhisha! Kwani kipi zaidi huwa wanafanya...
Habari wanajukwaa, nahitaji kununua simu kama kuna mwenye simu mpya au used(lakini iwe katika hali nzuri).
Bei yake i-range kati ya 160,000- 180,000.
Niko Bukoba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.