Kwenye taarifa ya habari TBC1 leo 23/11/2011 saa mbili usiku,kuna haka kachalii kanaitwa sijui Chifu Msopa kutoka sijui chama cha wapenda amani tanzania (if that is).
Madai yake eti wanaiomba serikali isiruhusu maandamano yaliyopangwa na asasi zisizo za kiserikali kupinga kupitishwa kwa mswada...
Wadau:
Naomba msaada kidogo wa real experience ya watu kuhusu hiyo mada hapo juu.Im a businessman,ila nataka ku-expand into a very new business venture....kufungua a street corner sneakers store preferably pale Mwenge au Sinza au hata Mikocheni.Ni dedicated kwa ajili ya raba tu,ambazo ni...
Wadau:
Naomba msaada kidogo wa real experience ya watu kuhusu hiyo mada hapo juu.Im a businessman,ila nataka ku-expand into a very new business venture....kufungua a street corner sneakers store preferably pale Mwenge au Sinza au hata Mikocheni.Ni dedicated kwa ajili ya raba tu,ambazo ni...
Bila kuleta conspiracy theories,naomba,mwenzenu nataka kujua kabisa Lowassa ameshika uchumi wa hii nchi kibiashara kwa kiasi gani.Mimi nashindwa kuelewa na sometimes hua nachanganyikiwa na huyu Lowassa,sijui watu wanam-overrate sana au tuna-fear something we do not understand.Kwa jinzi huyu...
Wadau,
Inashangaza kidogo kwa chalii star kama Dwight Howard wa Orlando Magic kuja Bongo moja kwa moja Monduli eti kutoa msaada wa mil 90 kwa shule ya sekondari Monduli?Sina tatizo na kutoa msaada Monduli,no,no,no.Na itakua very complex kujua ni processes gani zimetumika kumfanya aje,inaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.