A gunman who killed 49 people at two New Zealand mosques live-streamed the attacks on Facebook for 17 minutes using an app designed for extreme sports enthusiasts, with copies still being shared on social media hours later.
The live footage of Friday's attacks, New Zealand's worst-ever mass...
Kwa wale wapenzi wa Star Wars tunahuzunika kwa kifo Cha Princess Leia (jina lake kamili Carrie Fisher).
Amefariki akiwa na umri wa miaka 60.
May the force be with you Princess Leia R.I.P
Na wasalimu wote.
kwa kifupi hii habari ilitoka muda kidogo kuhusu wachezaji wa Russia kutumia
"performance enhancement drugs" lakini leo taarifa mpya imetoka ya kwamba
wachezaji wote wa Russia "LABDA" hawata ruhusiwa kwenda kwenye Olympic games.
"Banned".
Russia wanasema ya kwamba nchi...
Binafsi huwa si chezagi video games at all.
Especially "cellphone games " rafiki
Yangu mmoja ameni introduced kwenye hii game initwa Pokemon Go.
Nimejikuta nime tembea kilometa 32 bila hata kujua.
Kwa wale ambao hawataki mazoezi hii game itakusaidia mno.
Honestly speaking nimependa mno jinsi...
Ni kipindi kimepita tangu ni toe topic humu ndani. Hakuna mbaya. huwa nasoma topic nyingi sana especial za hapa MMU.
Nyingi ni za kushangaza nyigine za kufundisha na kuna za kuhuzunisha na pia kuna za furaha. Hamna mbaya JF ni darasa.
AD is back now
Topic yangu ya leo inahusu "SEX TOYS" kwa...
Kwa wote wanaopenda ku bake..
mimi kupika si kwa vile sana lakini ku bake na penda sana..
mwaka huu nimejaribu hii new recipe..
Cake yangu iko kwenye Oven ina umuka taaaaaratibu ..
Nikaona niwawekee hii recipe hapa kwa anaetaka kuijaribu .
Nikisha decorate nitawawekea picha..
Ingredients...
Ni mambo mengi yanatokea ndani ya mahusiano ya wawili.
na moja ya hilo jambo ni ugomvi. Na ugomvi mwingi hutokea sababu
ya kutokuaminiana.
anyway jambo moja ambalo wengi limewashika shati ni hili ku "cheat"
na huwa wengi hutafuta jinsi ya kuwakama wanza wao wanaodhulumu penzi.
Asante kwa mambo...
Ungana nami katika ukurasa huu picture.
Ntawaletea picha za Olympics kuanza leo mpaka closing ceremony ..
Karibuni.
Fireworks go off around London as the Opening Ceremony comes to an end.
The Olympic cauldron is lit.
The deadly Ebola virus has killed 14 people in western Uganda this month, Ugandan health officials said on Saturday, ending weeks of speculation about the cause of a strange disease that had many people fleeing their homes.
The officials and a World Health Organization representative...
maisha yetu sisi wanadamu hayana tofauti kabisa na maua, leo yanachanua , kesho yamezorota
Ni vema kushukuru kila tuonapo siku . maana hatujui nini kina kuja kesho.
Jaribu kutabasamu kila upitapo kwani tabasamu ni ishira ndogo tu
inayoweza kubadili mwenendo wa mtu mwingine . Kwa
ufupi...
Before and after shots of Auckland (New Zealand) Sky Tower as part of Earth Hour.
A combination picture shows power lines crossing in front of
the Sydney Harbour Bridge and city skyline before and during Earth Hour. (Australia)
A JetBlue flight to Las Vegas was diverted to Texas due to what
the airline described as a "medical situation" involving the captain -
who one witness said had to be restrained after he pounded on
the locked cockpit door.
The man screamed "say your prayers, say your prayers"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.