Ndo mkome kuiba kura na kuchanga hela za fomu ya Urais.
NB: WALIMU NI MIONGONI MWA WATU WANAOPASWA KULAUMIWA KWA MATATIZO YALIYO MENGI KATIKA NCHII KWA KUSAMBAZA NA KUENEZA UJINGA KUPITIA ELIMU WANAYOITOA MASHULENI. HIZI TABIA ZA MACHAWA SOURCE NI WALIMU WETU.
TENDENI WEMA WALIMU
GARDEN BOY IMPREGNATES THREE BIOLOGICAL SISTERS.
According to reports, the Kenyan parents to the girls kept their daughters indoors and could not allow them to mingle with friends. The gardern boy was the only close friend they knew. Without their strict parents knowing, he started sleeping...
MOROGORO: TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro imebaini mbinu chafu zinazotumiwa na baadhi ya mawakala kuwaibia wateja wao pindi wanapohitaji kufanya miamala ya kuweka fedha kupitia akaunti zao za kibenki.
-
Mwakilishi wa Mkuu wa Takukuru mkoa huo, Christopher...
Katika majira ya joto ya 1911 treni "Zanetti" yenye magari matatu na abiria 106 iliondoka Roma na ilipaswa kupitia handaki ya mlima huko Lombard. Treni iliingia kwenye handaki la urefu wa nusu maili katika Mlima wa Lombardy lakini haikutoka kamwe! Tu, kutoweka!
Hakuna mtu aliyeweza kutoa...
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.
Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.
Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Mwalimu mstaafu Eloise Parker anaishi peke yake huko Massachusetts, lakini ana mpangaji katika boma lake, Adam Clay, anayeishi maisha ya utulivu kama mfugaji nyuki. Siku moja, Eloise anaangukia kwenye kashfa ya hadaa na anaibiwa zaidi ya dola milioni 2, ambazo nyingi ni za shirika la kutoa...
LAZIMA TUWAKUMBUSHE
Kuwa wakati mnatamba Rais wa Yanga Just kupiga picha tu , Mkumbuke Simba iliwahi kuombwa elewa neno Kuombwa wacheze mchezo wa Kirafiki dhidi ya Sevilla na mchezo ulichezwa
Kumbuka Simba hawakupaswa kucheza mchezo huu kwa kuwa hawakuwa mabingwa wa kombe la Sportpesa...
Miradi ya kimageuzi inaendelea kwa kasi chini ya uongozi imara wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
NB Hii miradi yote ni ya mwendazake. Yeye tutamkumbuka kwa lipi??
Nimetumia muda ku-google ili nipate ‘maana ya neno imani’ bila kugusa vitabu vitakatifu. Kila maana ninayosoma kwenye mtandao naona ni nyepesi kuliko nachokifikiria, kinachosimuliwa na kinachotokea. Kabla sijaamua kuachana na Google, nikakumbuka, Mwalimu wangu Denis Mpagaze aliwahi kutuambia kwa...
Watanzania wenzangu wazalendo wa nchi hii habari za muda huu?
Moja kwa moja kwenye mada.
Naomba mwenye kujua atwambie ni kwanini Serikali yetu pendwa kwa awamu zoote imeendelea kuwahudumia dawa za kufubaza makali ya HIV na Uteja/arosto huku wagonjwa wenye magonjwa yasiyo ambukizwa wakifa kwa...
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na...
Just imagine milioni 700+ afu unapakia abiria 50 kwa elfu 50 Dar Kahama, unalipa wafanyakazi, engine kubwa inanyonya mafuta kama walevi wa KASKAZINI.
Bado ukodi ofisi, trafiki, Latra etc!!
Mnapigaje hapo???
Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limetoa ufafanuzi juu ya taarifa za Mwanamke mmoja wa miaka 40 Mkazi wa Kazegunga ambaye anadaiwa kuonekana November mwaka huu baada ya kufariki October 17,2018 wakati akijifungua Mtoto katika Hospitali ya Baptist iliyopo Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji na...
Kahama: Serikali imesimamisha leseni zote nchi nzima za Kampuni ya Nadoyoo Mineral Trading kufuatia kukamatwa kwa mmoja wa wahusika wa kampuni hiyo akituhumiwa kutorosha dhahabu zaidi ya kilo 4.3 zenye thamani ya zaidi ya Sh Milioni 562.3.
Dhahabu hizo zimekamatwa katika operesheni ya...
#PICHA Rais @samia_suluhu_hassan akizungumza na mke wa aliyekuwa Mfalme wa Qatar Sheikh Hamad Bin Khalifa Al- Thani, Sheikha Moza Bint Nasser Al-Missned wakati alipomtembelea Jijini Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.
#EastAfricaTV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.