Kama boss wa nchi ni mwanamke na tunaviongozi kibao wanawake kwa nn uogope kumwambia kama una shida wakati wengine wana hela kuliko ukoo wako wote ...Haki sawa sasa hivi akiwa na maukoto anaombwa tu na hata hana akicheza kikoba siku ya kuvunja unashangaa anakuita baba Tembele nimepata laki saba...
Jamaa fala sana kutokuolewa kwake kuna kuhusu nini!?.Kutokua na mtoto ulitaka akupe mimba uibebe na akizeeka na utam wake ww mbute unateseka na nn,😎Unataka umjue bwana wake ili akakutoboe spika...puuzi kabisa
Sio mbaya endelea kufanya mambo mengine ila siku ukitaka sasa upate mwenza utakuja pia na uzi wa kupigwa matukio na kujilaumu kwa nn ulisubiri uzeeke ndo uolewe
Jamani kumwagia nje wengine hatiwezi unakuta kale ka utam ndo unakasikiliza kumbe ndo mimba inaingia unamwaga kombe la kahawa kwa mtoto wa watu harafu unakuja jf kuponda ma single maza kama vile wanajipa mimba wao 🤣🤣🤣🤣
Ndio maana mm hua nasema ukipata mwanya wa kutolipa kodi piga dili kweli kweli na usisahau hata kupeleka sabuni vituo vya yatima kuliko kuwapa hela mchwa
Dah hao Tp nao mafala sasa unakuja kujifunza kwa mtu ulie mpita kimaendeleo ...au wameletwa na GSM.Kama kweli wamekuja kujifunza yanga itakua ni kichekesho.
Yaan hata nyumba hatununui kwa masharti yote hayo..ukipenda kitonga lazima unyee debe simu zipo mpya ww unataka za mkononi ama refub harafu vitu km simu kua na duka lako moja tena sio wale wa vizimba unakuta duka moja linavimeza kumi 🤣🤣🤣Na simu mpya unaunua ikiwa haijapasuliwa ile karatasi ya...
Bado tena hata huku chini unakwenda kununua ardhi unamshirikisha mwenyekiti wa mtaa ama afisa mtendaji na mjumbe wa eneo husika lakini bado unapigwa.Hao wote hapo wanaweza kua wanajua ww unauziwa ni wa tatu ama wa pili lakini wako kimyaaa mbwa wale kisa kuna chochote wanapata inaumiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.