WAWATIBU MALARIA KWA DAWA YA USINGIZI.
Mgonjwa wetu wa tanga, twamlilia nyikani.
Na nduguye ni majanga, ni yule wa visiwani.
Madokta wamewapanga, wawili wote wodini.
Wawatibu malaria, kwa dawa ya usingizi.
Hapa pana siri kali, kuwatibu watu hawa.
Mara dozi ziwe mbili, wakasema wenye...
NINATUMIA STORY YAKE KAMA ILIVYO ILA NITAONGEZA UFAFANUZI KWENYE MABANO NA KUBADILI KIDOGO VITENZI(MANENO) ILA MZIZI WA KITENZI ( NENO) NITAACHA ILI KUBAKISHA MAANA HALISI. UKITOA MANENO KATIKA MABANO UTAPATA STORY KAMA ALIVYOANDIKA MWENYE MADA.
Muda si mrefu (maeneo ya) hongera bar, kijana...
Upo sahihi wala hujaboronga. maana kwenye kunyumbulisha waweza kupta maneno zaidi ya sita kwa kutumia mzizi au shina moja la neno.
mfn: Onya, onyo, onyana, onyeana, onyaneni, onyeaneni, onyeka, n.k.
Je aliwahi kukuambia anapenda ufanye kazi gani? na je amewahi kukuelekeza mamna ya kuipata hiyo kazi?
Kisha angalia mtazamo na uchungu wake kwako juu ya kuishi bila kazi. Kama haonyeshi kuguswa na maisha yako ya kuunga unga basi hana upendo wa kweli kwako.
Hapa picha ninayoipata kwake ni kua...
MWANAMKE ZAKE SIFA.
Kipindi wamtokea, ulimsifia kwanza.
Ndipo kakukubalia, leo ndio wake mwenza.
Upendo unafifia, kusifu ukipunguza.
Mwanamke yake sifa, usiache kusifia.
Sio mali kutumia, eti utamtuliza.
Nyumbani ukiingia, kama bubu wanyamaza.
Mkeo anaumia, au mume namkwaza?
Mwanamke zake...
Pia uzuri wake hili ni jukwaa la mahuaiano, mapenz nk. si jukwaa la lugha tunalenga kuburudisha na kufundisha yanayohusiana na jukwaa husika ili hata asie mshairi achangie.
Ndugu yangu Jogi hata wewe kwenye ubeti wako katika mshororo (mstari) wa pili umeweka mizani 9 badala ya 8? pale ulipo andika "adhimu wengine hulia". Hakuna mkamilifu sote hughafirika kama alivyo kosea kwa bahati mbaya Mzee Raza.
Ila wote ni wazuri nipenda tungo zenu.
TUNDA LA AJABU.
Nimetulia mtini, nala tunda liso kokwa.
Laini shinda maini, ladha kuku wa kupakwa.
Chumvi nitake ya nini, nala bivu si kidakwa.
Naulinda mti wangu, unatunda la ajabu.
Tunda sikukuta chini, liangani likadakwa.
Ladha yake ulimini, akili zangu zarukwa.
Ladha zazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.