The battle for economic supremacy in East Africa seems to be getting hotter as Tanzania and Uganda lead Kenya in prospective infrastructure projects for 2019.
According to Debtwire, an intelligence service that researches and reports on corporate debt situations, the value of Tanzania’s...
SHAMBA linauzwa Kibaha Misugusugu 3 Kms kutokea Morogoro Road, Hekari 4.6
Lina michungwa lipo Karibu na viwanda vya wachina Karibu na Miyomboni, umeme na maji karibu, no dalalali 8M kwa Hekari niPM kwa details Kama uko interested. Karibuni sana
Hanari za leo wakuu! Kama kichwa kinavyosema hapo juu, naombeni msaada kwa yeyote anayejua anisaidie kunipa taarifa ya gharama za kusafirisha ng'ombe kutoka maeneo ya Karagwe, Mwanza, Shinyanga, Tabora na Ngara mpaka Metropolitan Dar Es Salaam. Gharama zilenge kwa kila ng'onbe aka kwa kichwa...
Kama title na picha zinavyojieleza, nakodisha kwa short au long term truck yangu kwa shughuli zozote zile hapa Dar na Tanzania kwa ujumla. Truck lipo ktk hali nzuri sana!
Mfano- Katika removal ( kuhamisha mizigo), usafirishaji magodoro, maji packed, stationeries, nguo, vyakula vya kuku...
Escudo ipo ktk hali nzuri inauzwa kwa bei chee!! 7M
Make: Suzuki
Model:Escudo
Body type: Station Wagon
Year of Manufacture:1996
Engine capacity: 1.5l petrol
Transmission: Manual & 4WD
Imported: from Japan
Registration: B
Doors: 5
Price: 7M Maongezi yapo (Only serious buyers please thanks!!)...
Year; 2000
mileage; 75000kms
condition; outstanding
tr; automatic
colour; metallic black
rd licence; till sept 2015
all duties paid, imetembea tz mwezi mmoja na kwa sasa ipo imepakiwa tu
price 20M
more infos, nitumie pm
no time wasters tafadhali
natuma picha
Plot at Madala Mikoroshini exactly 1 acre, 37 healthy coconut trees 15 orange trees, 9 guanabana trees, natural trees, close to Kawawa estate near a well known Flamingo area. Also close to all other amenities e.g Kisauke schools, close to Madala new Police station, hospital and public transport...
Wakuu poleni na kazi kwanza. Leo kuna kitu kimenisumbua kichwa yangu sana baada ya kuona hii kuhusu project ya Kilimo kwanza, cha kushangaza ktk ile pdf yao yenye orodha ya majina ya watakaokuwa au waliokuwa involved kulikuwa na categories nyingi tofauti tofauti tu, ambapo majorities ni...
kWANZA HABARI ZA MISHUGHULIKO WAKUU!
Najua humu kuna wakuu wenye knowledge, skills na peofessionals tofauti na ndio maana tukaitwa great thinkers. Sasa mategemeo yangu pia nitapata mawazo mazuri yanayoeleweka na yenye manufaa sababu nipo katika njia ya panda na niko desperate sana ya kuomba...
Duuh! hii kali, ama kweli ubaguzi unapamba moto! vipi wakuu mnakubaliana na hizi findings? maana mimi binafsi nimegoma! the most beautiful woman in the world is a black woman! Shabaash!!
Are Black Women Less Attractive? Blogger Says So
Wakuu wenzangu kwanza habari za mahangaiko, leo ktk pitapita yangu nilibahatika kuona hii habari ambayo nadhani mimi binafsi na hata sisi wote kwa ujumla haswa my beloved Africa especially Tanzania tunaweza kupata hope ya ugonjwa unaopoteza mamia kwa mamilioni ya ndugu zetu tunaowapenda na...
Ben Komba/Pwani-Tanzania/Monday, January 10, 2011/22:11:41
Chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Pwani kimevunja mkutano wake wa hadhara uliokuwa ufanyike katika kiwanja cha Maili moja mjini Kibaha kutokana na ilichodai kujionyesha wazi kwa Polisi kutaka kuvuruga mkutano huo, baada ya...
Habari nilizozipata sasa hivi ni kwamba basi la Abood lililokuwa linaelekea Morogoro toka Dar limepinduka Kibaha Maili Moja na limeua watu kadhaa! mwenye habari kamili na idadi atupe Thank you!!
Kama nimewakweza kwa kutuma thread mpya na hamkuipenda mamods mtanisamehe! ila nataka kujua kitu gani nimefanya wrong kutetea JF ktk kitu nilichoona very unethical! naomba sababu ya kuifuta thread yangu ambayo sikuona kama ina matataizo yoyote ktk kufunza jamii! na pia ningependa kutoa hoja kama...
My friends wote katika JF, leo nimeamua kutoa dukuduku langu ambalo limekuwa likinisumbua sana nafsi yangu kuhusu utendaji wa hawa watu wa TRA (haswa pale Dar port customs). Kuna kamzigo kamzigo kangu(motokali) kamefika 2 months ago hapo, ila mpaka kufikia usawa huu kichaa karibu kitanipanda...
Wakuu nimejitahidi kuwa brave kutatua tatizo hili la Usb ports na Jacks za laptop yangu ambazo zimegoma for some reasons bila mafanikio. Naomba msaada kama kuna mtaalam ambaye amesha come across the same problem au anayejua kulitatua nitashukuru sana! siwezi fanya chochote na imekuwa ikininyima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.