Search results

  1. Kibunango

    Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja!

    Ulinz wa Viongozi kwa kweli unatia kinyaa! Ni kuanzia kwa rais wa Jamhuri ya Muungano hadi kwa rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Huu ulinzi wao umezidi mipaka, unatisha na wala haupo sambamba na hali halisi ya nchi yetu! Kumbuka tu tunasema kuwa nchi yetu ni ya amani na utulivu...
  2. Kibunango

    OCG - Wapii Dee

    Baada ya kimya cha muda mrefu OCG anamtafuta Dee... "Wapi Dee"
  3. Kibunango

    Tetesi: Serikali kununua magari aina ya Ashok Leyland zaidi ya 700...

    Kampuni ya utengenezaji wa magari ya Ashok Leyland India, imepokea oda ya thamani ya USD 170 milloin kwa ajili ya usumbazaji wa magari na spea toka kwa serikali ya Tanzania. Pamoja na usumbazaji wa magari hayo, Kampuni hiyo inategemea kutoa mafunzo ya aina mbalimbali kwa matumizi ya magari yake...
  4. Kibunango

    Ethiopia Tourism Revenue Hits Record High 2015, Beats Kenya and Tanzania Combined.

    Ethiopia’s tourism revenue jumped 20.7 percent in 2015 to a record high of $3.5 billion from $2.9 billion in the previous fiscal year lifted by increased number of foreign tourists visiting the East African nation, data from the Ministry of Culture and Tourism showed. The country’s revenue was...
  5. Kibunango

    Shakira amevunja rekodi ya marafiki...

    Mwimbaji Shakira ameingia kwenye rekodi ya Dunia ya kuwa na marafiki/fans wengi zaidi katika Facebook, kuliko mtu yoyote hapa duniani. Jana aliweka rekodi hiyo kwa kufikisha fans milioni 100!
  6. Kibunango

    Arusha 1977 -1983

    Mara ya kwanza kuingia katika mji wa Arusha ilikuwa ni mwaka 1977, nikitokea mji wa Dodoma, kwa njia ya barabara. Safari hiyo ilichukua jumla ya masaa nane. Nilifika Arusha mjini usiku wa saa mbili. Tulipokfika Ngarenaro mji ulikuwa umajaa taa za mafuta, ukimulika giza la mji huu, kupita dirisha...
  7. Kibunango

    4K Sony na World Cup 2014

    Katika World Cup hii Sony wamesema kuwa watakuwa na moving camera za 4K ambazo zina uwezo mkubwa wa kutoa picha bora zaidi ya Camera za 3D. Kwa wataalamu wa moving camera ni nini sifa za 4K na kuna tofauti gani na 3D aidha ni TV ya aina gani ambayo unaweza kuenjoy iwapo utapata matangazo ama...
  8. Kibunango

    Ukraine Unrest And Attacks On Black People

    AFRICANGLOBE – The People of African Descent in Ukraine are passing through difficult times. The ongoing political unrest has brought about unexpected economic and other crises among most people living in the country. However, the People of African Descent bear the most brunt for obvious...
  9. Kibunango

    R I P Major Gen Rashid Makame

    Major Gen Makame ametutoka leo hii... Mungu amlaze mahala pema peponi.
  10. Kibunango

    Shule za msingi Mwanza

    Item Total Number of schools 864 Number of classrooms 3,930 Number of teachers 7,421 Pupils per school 385 Pupils per classroom 85 Pupils per teacher 45
  11. Kibunango

    Boliva Gives Legal Rights to The Earth...

    Law of Mother Earth sees Bolivia pilot new social and economic model based on protection of and respect for nature. Bolivia is to become the first country in the world to give nature comprehensive legal rights in an effort to halt climate change and the exploitation of the natural world, and to...
  12. Kibunango

    Mabasi mapya ya UDA

    Yapo kama elfu hivi.....
  13. Kibunango

    Ni kweli Polisi wapo kwa manifaa ya CCM?

    Imefika wakati wa kujiuliza mara mbili mbili kama kweli Jeshi la Polisi lipo chini ya maslahi ya CCM Ni vema tukaangalia kwa kina juu ya utendaji wa jeshi hili na hali halisi ya mwananchi wa kawaida hapa TZ, huku tukijiuliza nafasi ya jeshi hili katika usalama wa jumla kwa wananchi! Hivi ni...
  14. Kibunango

    Nitakuwepo Dar tarehe 30/05

    Wanajamvi nitakuwepo Dar tarehe 30/05 saa nne hadi saa kumi na moja... tutafutane!
  15. Kibunango

    Muamusho leo upo katika Viwanja vya Maisara - Unguja

    Wale wapinga muungano, leo watafanya sala ya Ijumaa katika viwanja vya Maisara. Tayali mamia ya watu wameanza kukusanyika toka pande zote za Unguja. Sipo mbali na eneo la tukio, nitajaribu kuupdate yanayojili...
  16. Kibunango

    Kikwete kweli umeishiwa!

    Kitendo cha Rais kwenda kwenye msiba wa Marehemu Kanumba, kimenifadhahisha sana! Na ni kutokana na kuvuruga kabisa uchunguzi wa kifo cha marehemu. Awali lawama zangu zinakwenda moja kwa moja kwa jeshi la polisi kwa kushindwa kuliweka eneo hilo chini ya uchunguzi! Polisi wameonyesha wazi ni...
  17. Kibunango

    Utaratibu wa kubeba maiti

    Iwapo mtu amefia nyumbani kwake na mwili wake ukabidi kwenda kuhifadhiwa hospitalini, kwa nini haubebwi na ambulance? Na iwapo utabebwa na kwa njia nyingine yoyote, kwa nini mwili hawaufuniki? Na wanapofika hospitalini, kwa nini sio wahudumu wa hospitali wanaowajibika kuutoa mwili huo badala...
  18. Kibunango

    Kudaaadadadeki! in 3D

    Inakuja karibuni. Pata nafasi ya kuangalia na kusikia mijineno, mijitusi na vituko vyote katika 3D....
  19. Kibunango

    Tanzania has most trade barriers in EAC- report

    Tanzania employs the highest form of bureaucratic bottlenecks to the movement of goods and services in the East African Community, a new report shows. Kenya, Uganda and Burundi follow in that order in imposing administrative and technical requirements that act as obstacles to trade, reveals...
  20. Kibunango

    Wirearchy imeondoa ukubwa (adults)

    Ni ukweli usiofichika kuwa social network imeweza kuondoa kabisa ile ya habari ya adults, usijali sana kuhusu jukwaa la wakubwa hapa JF, bali jaribu kuangalia njinsi mambo yanayokwenda.. Mfano NN anaovyotongoza vimwali vya hapa JF, na jinsi mijimama inavyotongoza vijana hapa JF. Au angalia jinsi...
Back
Top Bottom