Mimi ni kijana wa 25 mkazi wa mbeya mjini .nimemaliza chuo kwa levels ya degree nimesoma ICT katika iyo field niko vizuri kwenye database ususani katika oracle na mysql katika kufanya designing (ERD) na Database administration.
Kwenye programming language ni java, java scripts, php na python...
Mimi ni kijana wa miaka 25 nilikuwa nakaa kwa kaka yangu ambaye nilikuwa na msaidia sana kazi za shamba na nyumbani, tatizo likaja mimi nililima shamba kama ekari 1 bila kumwambia sasa ajakugundua baada ya kukundua kanyangasha langu pia sikatai kuwa rasilimali zingine nilikuwa na chukua shambani...
Mimi ni kijana wa miaka 25 Natafuta kazi ya IT nina uwezo mkubwa katika maswala y a DATABASE, NETWORKING NA WEB DESIGNING. Natanguliza shukrani Namba yangu ya simu
Jamani kila siku tumekuwa tukitumia noti zetu katika shughuli mbalimbali ila watu wengi tumekuwa hatujui maana ya alama zilizopo kwenye hizi noti,basi kwa yoyote anayejua maana ya hivi alama kwenye noti zetu haweze kutujuza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.