Siku za hapo nyuma tulielezwa kuwa mkuu baada ya kufanya ziara ya gafla na kumtumbua yule mama wa hazina alitoa maagizo madai ya kampuni ya bam yalipwe. Sasa mbona leo kwenye taarifa ya habari saa mbili azam tv, kuna habari kuwa mkandarasi ametoa notisi ya kusitisha ujenzi. Swali la kujiuliza ni...
Wana jamvi, katika kipindi hiki ambacho tunaelekea uchaguzi mkuu watanzania hatuna budi kutafakiri kuwa tumetoka wapi,tupo wapi na tunaenda wapi.Maana ya kusema kuwa tunahitaji viongozi bora na si bora viongozi ni kutokana na kuwa nchi yetu iliacha kuwa na viongozi bora baada ya kuvunja azimio...
Jamani Waungwana wezangu mimi nashindwa kuelewa matamshi ya viongozi wakuu wa CCM kuelekea uchaguzi mbona hayaendani na chama kinachotegemea sanduku la kura kupata ushindi. Mwenyekiti wao alisema hahitaji kura za wafanyakazi kwa hiyo hawezi kuwaongezea mshahara hata kama hawatampigia kura, jana...
Wanajamii kama kuna yoyote mwenye habari juu ya kiwanda hiki cha karatasi Mgololo atueleze kwani kuna uvumi kuwa kimesimama uzalishaji karibu mwezi sasa kutokana na kutokuelewana kwa bei ya magogo na wizara ya misitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.