Ni wazo zuri, mimi binafsi nimelipenda ila najua ni refu kimaelezo na hapa hujamaliza kila kitu....fanya likitoka hapa lipeleke kwa wahusika kupitia njia rasmi litafika tu kwa wahusika.
Kwenye kuhusu usalama pia watawekwa watu wa Cybersecurity kuulinda huoo mfumo, kuhusu uwajibikaji kwa maana wanaouendesha nao ni watu, ndiyo pale unakuja na swala la uwazi kwenye huo mfumo...
Hoja nyepesi sanaa hizii..... Embu ngoja uingie kwenye ndoa utajionea mwenyewe "Mapenzi hayana mwalimu" vile vile ndoa haina mjuajiiii kila mtu anaangukia puaaaa! Ndiyo maana wenzetu wa ulaya na marekani kuna ndoa za aina tofauti tofauti ili kuondoa hivi vitimbwi vya ndoa...."NDOA NDOANO".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.