Search results

  1. Ighombe

    Wakulima wa Kilomeni Mwanga kufufua zao la kahawa

    Habari wadau wa Jf, Mhe. Diwani wa kata ya Kilomeni Wilaya ya Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro ameagiza Miche 34,000 kutoka kituo cha utafiti wa Kilimo Lyamungo kwa lengo la kufufua Kilimo hicho! Kilimo cha buni aina ya Arabica kilishamiri mkoani hapa miaka ya 90 kurudi nyuma. Hata hivyo...
  2. Ighombe

    Airtel mnakwama wapi?

    Nadhani hamjambo members wote! Kuna kero kadhaa zinajitokeza sana kwa sisi tunaotumia mtandao wa AIRTEL.Kwa upande wa vifurushi vyao kuna kifurushi cha dakika 280 kwa SAA 24 ,Kifurushi hiki kina airtime fupi lakini dakika nyingi. Mimi nawashauri angalau kifirushi hiki kiwe cha SAA 48 ili...
  3. Ighombe

    Kwa yeyote aliyewahi kupata msaada kupitia App ya PSSSF kiganjani

    Habari za jioni ? Wapendwa natumaini saa hizi mmepumzika baada ya kazi za ujenzi wa taifa. Twende kwenye mada ,mapema jana niliona nipakue app ya PSSSF KIGANJANI kwa ajili ya kunirahisishia mawasiliano na mfuko wetu wa PSSSF .Kwenye profile yangu nimekuta jina limekosewa. Niliwaandikia...
  4. Ighombe

    WALIOCHAGULIWA HAYDOM INSTITUTE OF HEALTH SCIENCE TUKUTANE HAPA.

    Wakuu! Salaam! Naomba kama umechaguliwa taasisi niliyoitaja hapo juu uje tubadilishane uzoefu.[emoji3] [emoji3] [emoji3] .
  5. Ighombe

    Je? Haydom institute of health science wameshatoa matokeo kwa walioomba course mbalimbali?

    Wakuu! Natumaini hamjambo! Naomba kuuliza kama kuna aliyepata meseji ya kuitwa chuoni miongoni mwa walio apply Haydom atupe uzoefu.
  6. Ighombe

    Swali: Je makundi ya damu (blood groups) yanaathiri namna gani uzazi kwa mwanamke au mwanaume?

    Wakuu habari za leo? Naomba kuuliza endapo kundi la damu linaweza kusababisha mwanamke au mwanamme kuwa mgumba. Naamini wataalam hapa jukwaani watasaidia kutoa majibu sahihi. Samahani kama unaona huna msaada unaweza kuupita huu uzi, badala ya kutoa kejeli. Karibuni kwa mjadala[emoji120] .
  7. Ighombe

    ARVs kusitishwa nchini, Je ni kweli?

    Wanajamvi hivi ni kweli nchi wahisani wametangaza kusitisha msaada wa dawa hizo kwa Tanzania?
  8. Ighombe

    Ugonjwa wa kasonono na kaswende

    Idadi kubwa ya binadamu siku hizi wanatumia condoms. SWALI: (1)Je magonjwa niliyoyataja hapo juu yapo au yameshatokomea kama ugonjwa wa ndui? (2)Kama yapo ni nini kinachochangia kuwepo kwa kuzingatia kuwa mipira inatumika kujikinga na UKIMWI.?
  9. Ighombe

    Kuna lawama kwa walimu siku hizi kuwa walifeli mitihani, na hawafundishi

    Wadau kumeibuka tabia siku hizi ya kuwalaumu walimu kuwa walifeli mitihani kwa ngazi zote form four kwa wale wa shule za msingi na form six kwa wale wa sekondari.Siku hizi hata watoto wadogo wanarusha madongo kwa walimu. Hivi ni mapungufu ya walimu wetu au mfumo m,bovu wa nchi yetu wa maandalizi...
  10. Ighombe

    Vodacom rekebisheni hili kwenye huduma zenu

    Watoa huduma wa Vodacom Vifurushi vyenu ni vizuri.Rekebisheni utaratibu wa kumtaarifu mteja salio la kifurushi.TOENI KIPENGELE CHA NDUGU MTEJA UJUMBE UMEPOKELEWA UTAPEWA UJUMBE HIVI PUNDE , NA BADALA YAKE ONYESHENI SALIO LA KIFURUSHI MOJA KWA MOJA MTEJA ANAPOOMBA.INAKERA. UNAAMBIWA HIVI PUNDE...
  11. Ighombe

    Kwa wanafunzi wa St. Joseph (T) Arusha

    Wadau naomba msaada,Nina mwanafunzi wa first year hana chumba na anahitaji kuchangia chumba na mwanafunzi yeyote atakayejitojeza.Kama yupo aweke mambo hadharani kwenye jukwaa letu hili. Kila la kheri.
  12. Ighombe

    Natafuta kazi ya uuguzi Tanga, Moshi au Arusha

    Jamani kwa anayejua Hospitali ya mission yenye nafasi.Nimemaliza diploma ya nursing August mwaka 2014.Tafadhali nijuze hata kwa kuni PM.
  13. Ighombe

    Nafasi za kazi kwa aliyemaliza Diploma in Nursing

    Wanajamvi kulingana soko la ajira kujaa sana nisaidieni.Kijana wangu amemaliza Diploma in nursing August mwaka huu.Kwa anayefahamu hospital ya mission iliyopo MOSHI,ARUSHA JIJINI au TANGA yenye nafasi ani-PM. U
  14. Ighombe

    Wataalam wa mtaani na vipimo vya afya kupima magonjwa mbalimbali

    Jamani wanajamvi ,Kwa yeyote anayejua ukweli kuhusu hawa wataalam wa mtaani waliozagaa Masokoni na kila mahali mitaani anijuze .Wanapima kwa utaratibu ufuatao: (1) Kipimo kinawekwa kwenye kidole mkononi halafu anakuambia una ugonjwa wa moyo, figo na mengineyo. (2) Baada ya vipimo matibabu...
Back
Top Bottom