Mwaka mmoja uliopita ilinilazimu kufanya shoo ili nijipatie pesa. Nilipomaliza kupafomu nikiwa natoka ukumbini kuelekea nyumbani kumbe nyuma yangu kulikuwa na Mrembo akinifuatilia tokea nlipokuwa jukwaani mpaka nilipopaki mkoko wangu Mercedes Benz SL.
Nilishtuka sana nilipomuona Mlimbwende...
Naomba tujikumbushe matukio yaliotokea na yanayoendelea kutokea ndani ya mwaka huu ambayo yameleta gumzo kubwa sana.
Nakaribisha matukio yote iwe michezo, siasa n.k. Iwe ndani ya nchi, nje ya nchi au kifupi naweza sema Ulimwenguni.
Mimi nitaanza na machache na wandugu wengine mtaendelea...
Nimekuwa nikisikia kuwa ndoto huwa haimaliziki na endapo utakapomaliza ndoto basi itakuja ndoto nyingine ambayo itakatika labda kwa kuamshwa au sababu nyingine ambayo itakufanya uamke.
Hapa nina uhakika nitapata jibu muafaka.
Haya tiririkeni kwa faida yangu na wengineo
Nimekuwa nasumbuliwa sana kutaka kufahamu, ngoja nianze na mimi mwenyewe binafsi ni hivi:-
Kabla mama yangu mpendwa hajanileta hapa duniani jee nilikuwa najihisi hisi vipi?
Je nyie wenzangu manaweza nisaidia kutatua hili suala maana mimi nimestukia niko ulimwenguni tayari, sasa nisaidieni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.