Kamani huyu aliyetaka kukimbia na boksi la kura za maoni na kujaribu kumpora karatasi ya matokeo ya kura za maoni aliyekua akisoma hadharani pamoja na uwaziri wake? Haki watu wa hiyo kanda mmejawa na unyani sana.
Haha, najua wasukuma hamnaga mwanamke mweupe malaya machoni penu au mtoto mzuri kama huyo au Nusrat.... but was good for nothing!! I know her personally.
Ndo aikimbie meimosi kisha aibukie Paris kujadili nishati safi ambayo raia wake 98% ni masikini wasioweza kununua hata kopo la mkaa?
Shida yenu mnafanya analysis ya nchi mkiwa msimbazi au jangwani!! Hopeless creatures!!
Ila kisaikolojia watu wasio na akili kichwani huwa na ujanja wa ku survive zana....
Na wabongo wengi hawajiulizi ile migogoro na madai alokua akishughulika nayo akiwa katibu mwenezi yaifa mwisho wake ulikuaje? Nani anafatilia hitimisho lake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.