Mwendesha mashtaka wa Los Angeles kasema hawezi kumfungulia mashtaka Pdiddy kutokana na Video ya jana

Unaongea nini we mbusi,ana mashtaka zaidi ya 25 atatoka vp.
50 cent anatoa hints tu.
Ye mwenyewe alikumbwa akasign muflisi.
Kaenda na bajaj mahakamani,
Huku ana lamborgini,Ferrari gari unaijua wewe kila aina lipo
 
Mgerasi bhana yaani nilijua tu hapo mwishoni utajipigia chapuo eti wewe ni
JF nini nini sijui gwa nyoko,
Kyee! kyee! kyee!
Unapenda mbwembwe kama Matoashi wa Babylon na Ukaldayo waliovaa Gold metal mwili mzima na kuwahudumia Mabikira ya Kifalme kwa kuya massages huko wakiwa hawana uwezo wa kupeleka moto! 😁😁

Anyway twende kwenye mada
Kwahiyo unasema Bwana Ali Msomali atakwepa mashtaka yote anayotuhumiwa?
Kwani ana kesi ngapi kamanda wangu Maghayo ?
Hahaha nimecheka kwa sauti kubwa
 
Back
Top Bottom