Wakati juhudi za kupambana na janga hili zikiendelea,kuna mambo ya msingi na muhimu kama nchi nahisi hayajaenda sawa. Kwa haraka haraka na bila kuchelewa nashauri serikali kufanya mambo yafuatayo:
1. Upo uhaba wa vitendea kazi kwa watumishi zikiwemo Mask aina N95 ambazo kwa mujibu wa Naibu...
Usiku wa leo katika group moja la whatsup,kuna picha na video za mwanaume mmoja hapa Tanzania akimlazimisha binti (naamini si wake) kunyonya***ume wake. Binti huyo anaonekana akilazimishwa kufanya kitendo hicho.
Taarifa za baadae na kwa mujibu wa picha hizo ni kwamba huyo mwanaume alipigwa...
Ndugu wanaJF,
Katika ajali iliyotokea juzi Arusha,kila mtu atakubaliana nami kwamba utaratibu mzima uliotumika katika kuwasitiri wenzetu haukuwa mzuri na sahihi.Jana katika kipindi maalumu cha Clouds TV,mmoja wa wazazi pia alilalamikia hili.Maiti za watoto zilizivyotolewa kwenye korongo,wengine...
ORODHA YA MAGAZETI YALIYOFUTWA USAJILI
1. Sports Scene
2. Uzazi Bora
3. Elimu Haina Mwisho
4. Habari Maalum ya Uzima Tele
5. Lengo
6. Lishe
7. Mfanyakazi Huru
8. Mapinduzi ya Kijamaa
9. Ngao
10. Uhuru na Amani
11. International Diplomacy
12. Pambamoto
13. Tanztravel
14. Carmel
15. Sky Safety...
Ukiangalia upande wa kulia wa picha ya Lowasa kwa nyuma,kuna huyo bwana mwenye shati la zambarau.Ni nani bwana huyu?-maana ameonekana kuwa close sana NA Mgombea.
Ndugu zangu,
Pamoja na kuyapenda mabadikiko kwa dhati,lakini Mbeba ajenda Mkuu,ambaye ndiye mgombea urais WA Ukawa kwanini anaambatana na wanachama aliyotoka nao CCM tu❔➖mfsno jioni hii kwenye taarifa ya habari channel ten,Lowassa anaonekana Yuko Njombe na wwtu alioambatana nao...
Wakuu,
Sina kiswahili sahihi cha neno ''enchweke'' ambalo kwa lugha yangu ya kihaya ni hali ya mzimu wa mtu aliyekufa kumwandama mtu aliye hai na kumfanya aongee kile anachokitaka. Mara nyingi marehemu hupenda kutoa wosia kwa waliobakia kupitia mtu huyo. Nimeishuhudia mjomba wangu alipofariki...
Ni takribani wiki mbili sasa mchakato WA kumpata mgombea ndani ya Chama tawala umemalizika.Katika michakato yote ambayo chama hiki imefanya,Ni wazi kuwa mchakato huu ulikuwa na changamoto kubwa kuliko yote.
Wanachama wakongwe na wenye heshima zao kabla hata mchakato kuisha,walijitokeza na...
Wakuu,
Kuna ugonjwa huu unaitwa Coronavirus, nasikia unaambukizwa kwa njia ya hewa. Tayari umeua watu wawili ambao ni watu ninaowafahamu. Take care guys.
==================================
Source: webmd
YH.E Baraka Obama President of the United States of America has comfirmed to visit kenya for only 8 hours.
The US Navy Seals will be in charge of all water bodies in East Africa.
The USA Secret Service, CIA,FBI will take over the Role of kenya defense forces and all armed forces in Kenya...
Wakuu Nina flat screen yangu inch 34 haina muda mrefu inasumbua Sana kwa kutoa rangi zisizoeleweka na PIA imekata sauti.Naomba yeyote mwenye kujua tatizo Ni nini au anayemjua fundi mzuri WA tv anisaidie.Asante
Katika hali isiyo ya kawaida,mtoto mmoja katika wilaya ya Karagwe amekufa baada ya wale wadudu watamu kwa wingi wao kumshambulia na kumziba pua na mdomo.
Hali ilivyo kwa sasa, wadudu hawa wamekuwa wengi kupita pengine miaka yote iliyopita.
Taarifa za kuaminika kutoka Bukoba mjini ni kwamba...
Ndugu zangu,
Rais Mugabe WA Zimbabwe huwa Ana msemo mmoja maarufu kuwa,watu muhimu katika uchaguzi wowote ule,si mpiga kura,Bali mwenye kuhesabu kura.Ni Jana Tu,watu wengi,wamefurahia Mou Kati ya vyama vinavyounda Ukawa,hii kwa nchi yoyote ya kidemokrasia,Ni jambo jema Sana.Hata hivyo nchi...
Ni hivi majuzi Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Chadema,kimepata safu yake ya uongozi.Miongoni mwa viongozi waliochaguliwa tena kwa kura nyingi,ni naibu katibu Mkuu,Zanzibar Salim Mwalimu.
Kwa uelewa wangu,Salim Mwalimu,Ni mwajiriwa wa Kampuni ya Vodacom Katika nafasi ya upande wa masoko.Ni...
Football vs Sex.
1. Going to your bf/gf without being invited = OFFSIDE.
2. Dating a girl today and having sex on the same day = FREE-KICK.
3. Condom = GOALKEEPER
4. Condom breaks = PENALTY
5. Abortion = RED CARD
6. A girl with lots of energy = CAPTAIN
7. Having sex...
Wadau,
Hapa kumekuwepo na mada chungu nzima,zikilalamikia michango ya harusi isiyokoma.Miongoni mwa watu ambao wamekuwa hawapendezwi na uwepo wa miichango mingi Ni Mimi mwenyewe.Lakini baada ya kutafakari kwa makini,nimegundua,wale wenye kuoa au kuolewa wanahitaji michango mingi zaidi na...
Wakuu!
Sina uhakika kama wazo langu hili ni jipya!-ila ninadhani kitu hiki kinaweza kuwepo tayari.Ningependa kujua hapa Dar es Salaam,au hata waliopo mikoani kama kuna Clubs za wasoma vitabu;ambapo badae upata muda wa kushirikishana kile kilichosomwa na kupanua nijadala yenye afya.Mwenye kujua...
Wakuu,
Kuna baadhi ya nchi ambazo hujulikana kwa kiingereza kwa jinsi zinavyojulikana;lakini nchi hizo pia katika llugha yetu adhimu ya Kiswahili unakuta zinaitwa majina tofauti.Mfano nchi kama Malawi inaitwa hivyo hivyo kw lugha zote;lakini angalia nchi zifuatazo;
1.England- Uingereza...
Wana MMU,
Mpendwa Paloma ni mgonjwa!
Amepewa bed rest kwa siku kadhaa na amepima vipimo vyote ugonjwa hauonekani.Inshallah!-mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atamjalia apone haraka.Lets keep our finger closed and pray for our beloved daughter,friend,mentor and colleague.
Get well soon friend!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.