Habari zenu wakuu,
Naomba kwa anaeweza kunitengenezea/kunielekeza mahali husika.
Kioo cha ipad kinakua kama kinavujia wino,hii ni baada ya mtoto kuiangusha chini,na sijajua mahali husika pa kutengenezea.
Msaada wenu tafadhali.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Samahani kama nakosea lakini nina.swali,kwanini wanaume wengi wenye ndoa zao wanapenda kwenda club au sehemu starehe za night kali bila wake zao??
Kuna rafiki yangu alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa juzi kwahiyo akaamua kwenda club na friends zake wengine anaosoma nao chuo,kufika huko...
Habari zenu wakuu,
Naomba msaada wenu maana sielewi kama hii ni hali ya kawaida au kuna tatizo.
Nina week moja tu ujauzito wangu ufike miezi nane(8),lately nasikia mifupa yote kuanzia kiunoni hadi kwenye maungio ya mapaja,inaniuma sana
Sielewi kama kuna tatizo kwasababu sijawahi jisikia hivi...
Malezi ya watoto ni jukumu la baba na mama lakini kwanini kina mama ndo huwa wanaonekana ni chanzo cha watoto kuharibika?yani anabebeshwa lawama zoooote
Habari ndugu zangu,
Hivi jamani inakuaje mimba nibebe mimi halafu kisirani awe nacho mume wangu?yani utasema ye ndo mjamzito...mara kanuna mara awe kawaida yani inshort vurugu mechi wakuu hata sielewi namfanyaje huyu baba yangu jamani
Inanipa stress sana
Yani unakuta mtu kanuna kabisa kisa maneno ya kuambiwa halafu maneno yenyewe unakuta hayana ukweli hata kidogo!!
Wanaume wanapenda sana kusalitiwa,usipomsaliti atafanya juu chini mpaka umsaliti hata kwa hasira
Kwamba labda anakusave na stress za kujua kuna wanawake wanamsumbua au anafuta kwasababu na yeye anawaandikia vitu ambavyo hataki uvione(ana mahusiano nao)?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.