Mkandarasi Singh and Sons anaitia aibu taaluma ya uhandisi majenzi na mihimili, ujenzi wa daraja aliouanza hivi karibuni mwanzoni ulikuwa ni tumaini jipya kwa wakazi wa kivule na vitongoji vyake ila sasa umegeuka shubiri kwa wakazi hao. Mkandarasi huyo anatia mashaka uwezo wake katika taaluma...
Mkandarasi Singh and Sons anaitia aibu taaluma ya uhandisi majenzi na mihimili, ujenzi wa daraja aliouanza hivi karibuni mwanzoni ulikuwa ni tumaini jipya kwa wakazi wa kivule na vitongoji vyake ila sasa umegeuka shubiri kwa wakazi hao. Mkandarasi huyo anatia mashaka uwezo wake katika taaluma...
Guys let me share one thing wit you;
Kuna Uzi mmoja niliwahi kuandika hapa JF miaka 3 iliyopita jinsi ya kutambua cosmetics km perfume, lotion na bidhaa zingine kama ni fake au authenticated, tarehe na mwaka toka kutengenezwa kwake na uhalali toka kwa mmliliki wake awe Christina Dior, chanel au...
Wapo wanaochukua kwa ajili ya kuziuza mikoani ila sidhani km utapata kwa bei hizi...kwasasa watu dar ndio wanafaidika zaidi na offer hii, ila tupo mbioni kuona ni namna gani tutaweza kuwafikia, km una mtu dar mwambie akichukulie kisha akutumie
Mfano mzuri ni kampuni ya Smart wanatengeneza perfume zote zenye majina uzijuazo.....zile unaweza kuita fake coz mmiliki halali ajampa lisence...tofauti na hz..
TOPIC CLOSED..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.