Search results

  1. Aquatic

    Mume wa mtu ananitesa

    sasa ndio nini tena kuyaleta huku S mbona unataka kunialibia tena ndoa yangu?...nimeshakueleza vyakutosha
  2. Aquatic

    Msaada wenu wandugu: Dawa ya kusokota tumbo kwa mtoto mchanga wa mwezi mmoja

    Sio drip water ni gripe water wadau Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Aquatic

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Kanzu bila kofia sawa na dela tu.
  4. Aquatic

    Ujenzi wa daraja la Kivule wageuka shubiri kwa wakazi

    Mkandarasi Singh and Sons anaitia aibu taaluma ya uhandisi majenzi na mihimili, ujenzi wa daraja aliouanza hivi karibuni mwanzoni ulikuwa ni tumaini jipya kwa wakazi wa kivule na vitongoji vyake ila sasa umegeuka shubiri kwa wakazi hao. Mkandarasi huyo anatia mashaka uwezo wake katika taaluma...
  5. Aquatic

    Neema ya barabara wale wa Kivule, Matembele Chakenke, Mkong'oto, Sirari, Frem Kumi, Mbondole mpaka Msongola

    Mkandarasi Singh and Sons anaitia aibu taaluma ya uhandisi majenzi na mihimili, ujenzi wa daraja aliouanza hivi karibuni mwanzoni ulikuwa ni tumaini jipya kwa wakazi wa kivule na vitongoji vyake ila sasa umegeuka shubiri kwa wakazi hao. Mkandarasi huyo anatia mashaka uwezo wake katika taaluma...
  6. Aquatic

    Namna ya kuwa mwanaume bora asiyekera wanaume wenzako

    Sio kila ushauri unaopewa na jamaa zako au mkeo ni wakufuata sometimes kidume lazima uwe na maamuzi yako binafsi hii itakuongezea heshima mbele yao.
  7. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Guys let me share one thing wit you; Kuna Uzi mmoja niliwahi kuandika hapa JF miaka 3 iliyopita jinsi ya kutambua cosmetics km perfume, lotion na bidhaa zingine kama ni fake au authenticated, tarehe na mwaka toka kutengenezwa kwake na uhalali toka kwa mmliliki wake awe Christina Dior, chanel au...
  8. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Wapo wanaochukua kwa ajili ya kuziuza mikoani ila sidhani km utapata kwa bei hizi...kwasasa watu dar ndio wanafaidika zaidi na offer hii, ila tupo mbioni kuona ni namna gani tutaweza kuwafikia, km una mtu dar mwambie akichukulie kisha akutumie
  9. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Chukua mawasiliano yangu pale juu kbs...utanipata
  10. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Mfano mzuri ni kampuni ya Smart wanatengeneza perfume zote zenye majina uzijuazo.....zile unaweza kuita fake coz mmiliki halali ajampa lisence...tofauti na hz.. TOPIC CLOSED..
  11. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Soma post namba 36
  12. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Kwa wale ambao wamechukua mashahidi
  13. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Niliposema clone naamanisha under lisence..Dolce&Gabbana hawezi kuifikia Dunia nzima yeye pekee....nchi nyingi zinatoa brand haimaaishi ni fake
  14. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Sauvage, Dolce& Gabbana The one
  15. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Thnx Guys naona mzigo mmeupokea vizuri....
  16. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Offer hii mwisho tarehe 14 Nov mzigo ukishaingizwa kwenye flemu za kioo mtaununua kwa bei zilizo zoeleka.
  17. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    100% inarudi shaka ondoa
  18. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Huu mzigo upo kwenye offer kwa atakae chukua nenda kwenye maduka yenu kule posta mnapo uziwa 150k ukikuta tofauti na huu nakurudishia ela yako
  19. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Unakaribishwa
  20. Aquatic

    Nukia classic na perfume za kijanja

    Tatizo Watz tumezoa ukiona kitu kinauzwa bei kubwa ndio chenyewe kumbe mnapigwa....chukua hii kitu kisha tumia ili ujionee mwenyewe
Back
Top Bottom