Kwa wataalamu wote wa mtandao,
Natafuta mtaalaamu wa program ya quick book au progam yoyote itakayonisaidia kwenye biashara ya dawa,
itakayo onesha kiasi cha dawa kilichoingia, kilichotoka na kilicho baki.
Mwenye taaluma hiyo tuwasiliane niko hapa Dar.
Mimi nimemaliza masomo ya chuo kikuu tangu 2013 july
Kinachoniuma ni kwamba hadi leo hii 20\5\2014 vyeti bado hatujapata na wote tulifaulu na mahafali yalifanyika 14/12/2013
TUFANYEJE?
Habari ya leo,
simu yangu aina ya asha305 imekufa TOUCH,
natafuta fundi, niko Dar TEMKE.
yeyote anayejua kuirekebisha ani PM Tafahali.
au anipigie 0652 210 584
leo majira ya saa kumi jioni nimepigiwa na mtu kwa kutumia namba hii +33174076097, amenihoji maswali mengi sana,
nilipo muhoji lengo la mswali yake akakata simu,
naomba mnisaidie hii ni namba ya nchi gani.
Naomba msaada wa kiufundi, Gari langu linatoa moshi japo kidogo, pia linatumia fuel 8 km kwa lita, SPECIFICATION Spacio old model Petrol fuel SHIDA YA GARI INAKULA MAFUTA SANA INATOA MOSHI MSAADA JAMANI, shida ni kitu gani kwenye gari hili na nifanye nini?
Kijana wangu ame reseat form IV 2011 kwenye private center kama private candidate, bahati mbaya amepoteZa namba yake ya mtihani hivyo tumeshindwa kupata matokeo yake, tufanyeje kupata hayo matokeo.
Natafuta simu za kuweza kutumika ndani kwa ndani yaani hazitumii mtandao wowote ila frequency tu na ni ndani ya distance maalumu tu. Naweza kuzipata wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.