Habari zenu ndugu wadau.
Ni siku nyingi kidogo tokea tumekuwa pamoja hapa.
Ila nimegundua kuwa bado tuko pamoja sana kimawazo.
Nawashukuru sana wadau wote wa hapa JF kwa support na wishes njema wakati wa shida kubwa sana iliyonipata ya kupotelewa na mtoto kwenye ajali ya wanafunzi kule Karatu...
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi amepiga marufuku mijadala yoyote inayohusu Katiba na rasimu yake katika maeneo na viunga vyote vya mji wa Dodoma.
Aidha amepiga marufuku mikutano ya hadhara au makongamano yoyote ya Katiba kwa maelezo kwamba vitendo hivyo vitawavuruga wabunge wa...
Kitu kama bomu kimelipuka Hapa Arusha maeneo ya MTK Bar Mianzini na kusababisha mshindo mkubwa sana.
Taarifa zinasema baadhi ya watu wameumia.
========
UPDATES:
- Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha amethibitisha kutokea kwa mlipuko wa bomu Arusha Night Park, hakuna vifo, idadi ya majeruhi...
Tafadhali ajuaye mahala naweza kuzipata na kuprint Tshirts quality kwa bei nafuu hapa Arusha. Natambua uwepo wa A TO Z, lakini quality za Tshirts zao sizo ninazohitaji.
Tafadhali.
Langu ni swali dogo tu.
Sayansi haiamini katika uwepo wa Mungu.
Naomba kujuzwa kwa mujibu wa Sayansi viumbe hai asili au chanzo chake ninini?
Jiografia inatujuza kuwa dunia hii hapo mwanzo ilikuwa kipande cha jua, ambapo ilimeguka na kuanza kupoa taratibu.
Je viumbe hai walihamia...
Wadau,
Nasikitika kuwatangazieni nyote kuwa mwenzetu LiverpoolFC amefiwa na Baba-Mkwe wake hapo jana, na muda huu ndio yupo kwenye maandalizi ya safari kuelekea huko jirani na Ngorongoro kwa shughuli za maandalizi ya mazishi.
Kwa harakaharaka amenijuza kuwa huenda mazishi yakafanyika kati ya...
Nimesikia wimbo wa Kizazi kipya leo redioni, sijajua ni nani mtunzi na mwimbaji, lakini kijana huyo amefanikiwa kunitisha sana kwa maneno yake mazito.
Baadhi ya maneno ya wimbo wake yanasema:
"Ujana wako ulikula na nani?....Usije ukasumbua watu"
"Pesa zako ulikula na nani.......Usije ukasumbua...
Wataalam
Nimejuzwa na wadau leo kwamba simu aina ya Samsung inaweza kuzima au kuwasha Tv aina ya Samsung.
Hata hivyo mdau hakuniambia kama ni Samsung smartphone au aina zote.
Binafsi natumia Samsung, lakini sijajaribu, aidha sijajua jinsi inavyofanyika.
Kuna mdau aliyepata kusikia hii...
Jana nimepata msg toka kwa mtu nisiyemfahamu ikisema " dada nisaidie elfu 15 tu mwenzio nafukuzwa chuo na wamesema sitaenda Btp kama nisipomaliza kulipa."
Nikampandia hewani mtu huyo kujua ni nani(maana huenda akawa ndugu yetu na huenda akawa na tatizo genuine).
Du, ebana eeh, nilikutana...
Nimeambiwa kuwa naweza kutumia simu kama moderm ya laptop aidha kwa Bluetooth, WI-FI au USB tethering.
Swali langu ni kuhusu ulaji wa MB's zangu.
Je ninapotumia laptop zitaisha haraka zaidi ya kuzitumia kawaida kwenye simu?(assuming sites zinazokuwa visited ni zilezile)
Naomba nisaidiwe.
Hapa chini toilets za stendi ya Hood ya Morogoro kama nilivyokutana nazo leo.
Nimeshindwa kubaini kwa kampuni kubwa kama Hood yenye mabasi makubwa yasiyopungua 50 kuwa na vyoo vichafu namna hii.
Je issue ni priorities?
Wajasiriamali,
Nina Changamoto.
Wenzangu mnaondoka ondokaje na fedha ya mauzo toka eneo la biashara kuelekea benki au nyumbani?
Binafsi niko kwenye taasisi ambayo kila tarehe ya kwanza ya mwezi inagenerate wastani wa 8million.
Ishu huwa ni jinsi ya kuondoka na hiyo cash kuelekea...
Waziri wa Uchukuzi Dr Harrison Mwakyembe amemthibitisha Bwana Suleiman Suleiman kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja Vya Ndege Tanzania (TAA) kufuatia kuwezesha ukamatwaji wa mama aliyekuwa anasafirisha madawa ya kulevya kuelekea Maau, kiasi cha pipi 68 pamoja na nyara za serikali...
Wadau,
Leo imekuwa siku ya pekee sana kwangu, Sio kwasababu ni mwaka mpya, bali ni kwamba mnamo mwanzo mwezi wa December 2013 simu yangu Samsung GT S6802 ilitumbukia kwenye mtaro na kupotea jumla.
Simu hiyo ilikuwa na kiasi kikubwa cha kumbukumbu pamoja na picha na video kadha. Nikajikatia...
Tumsifu Yesu Kristo.
Tuko kwenye sherehe za Jubilei ya miaka 50 ya Jimbo Kuu la Arusha.
Hakika mambo ni mazuri sana, na baraka za Mungu ziko wazi kwa kila mhudhuriaji.
Ujumbe wa Jubilei ni "UINJILISHAJI WA KINA".
Kuna wageni toka kila kona ya nchi, na ulinzi umeimarishwa sana.
-Tuko...
Ndege kubwa aina ya boeing 767 imetua Arusha baada ya rubani kupotea akidhani ni KIA.
Ndege hiyo ina jumla ya abiria 213 na crew Cha ajabu rubani amegoma kabisa kushusha abiria kwenye ndege kwa madai kwamba mahali hapako standard.
Pamoja na juhudi za kiwanja kuleta magari na ngazi za kushukia...
Nikiwa mmoja wa abiria tuliosafiri na PW kurudi Arusha leo, ndege ya shirika hilo yenye usajili No 5HPWI imepata kizaazaa wakati wa kutua baada ya tairi mojawapo kupasuka kwa kishindo, likufuatiwa na mengine yote ya nyuma ambapo yalipasuka pia na kuacha vipandevipande kwenye njia ya kurukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.