PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,731
Waziri wa Uchukuzi Dr Harrison Mwakyembe amemthibitisha Bwana Suleiman Suleiman kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja Vya Ndege Tanzania (TAA) kufuatia kuwezesha ukamatwaji wa mama aliyekuwa anasafirisha madawa ya kulevya kuelekea Maau, kiasi cha pipi 68 pamoja na nyara za serikali zilizokuwa zinatoroshwa na Mchina leo.
Kufa kufaana.
Kufa kufaana.