Nilifika hospitali moja kubwa iliyopo maeneo ya Mikocheni juzi, jumatatu... sikukuu ya pasaka, baada ya kuhisi nina homa kali
Niliingia chumba cha kumwona daktari nimwelezee matatizo yangu baada ya kulipa Tsh10,000 consultation fee na nilikutana na harufi mbaya sana. Daktari huyo mwenye asili...
1. Between 11 June and 11 July 2010, you should read the sports
section of the newspaper so that you are aware of what is going on
regarding the World of Soccer, and that way you will be able to join
in the conversations. If you fail to do this, then you will be looked
at in a bad way, or...
Kuna dada mmoja wa Jf kanitumia ujumbe kusema hata wao pia wanacheki cheki washikaji. Haswa kifua.
Kina dada kuna ukweli hapa na mkicheki, mnaangalia nini?
Personally thread ya Diana-Dabodiff akijitambulisha kwa JF na majibu aliyopata iliniacha hoi. Sijawai kufurahia thread nyingine kama nilivyoifurahia hii
Diana-dabodiff ndani ya nyumba.
Naitwa Diana lakini mtaani kwetu huku...
Naomba msaada
kucha zangu za miguu zinakuwa ndani ya nyama, ingrown, wanasema. Zina maumivu sana na madaktari waliniambia nifanye operasheni ya kuzitoa... nimetoa mara mbili lakini wapi, zinakua vile vile... je kuna dawa ama haya ni maumivu ya milele
sasa hivi natinga open shoes kila siku...
Je kuna mtu ana information zozote kuhusu chuo cha Acharya? Nataka kuapply for a course na nimeambiwa wana local agent hapa bongo. Anyone?
Chuo " ACHARYA INSTITUTE OF MANAGEMENT & SCIENCE
URL; www.acharyaims.ac.in
email: admissions@acharyaims.ac.in
Tel: +91 80 6567 9112
Fax: +91...
Nilikuwa na rafiki wa kike (sio mpenzi) wa siku nyingi ambaye nilikuwa namtamani lakini niliheshimu urafiki wetu nikanyamaza kwa miaka mingi.
Januari nilikutana naena tukaanza mawasiliano tena. katika mazungumzo nikagundua kuwa hata yeye alikuwa ananipenda na alikuwa aliogopa kusema. Basi...
Nanukuu
"Nilikutana nae kwa mshikaji, kaniambia walikuwa wanasoma pamoja
nikakutana nae mtaani, nikamnunulia msosi, tukabadilisha namba
tukaanza kuchati, mambo ya message usiku kucha, nikampeleka slipway mara mbili, movie mara moja
Kaniambia ananipenda, nami nikampenda tena kwa dhati...
Nimepata taarifa kuwa Alan Turner,mmoja wa waanzilishi wa executive solutions amefariki.
Nasikia Agrey Mareale na wafanyikazi wa Executive solutions wana huzuni kuhusu hicho kifo poleni
RIP
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.
Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.
Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa...
Marafiki, wasomi, wana jamii wenzangu na hata wapenzi wangu, leo ni World tell me day, hivyo basi naomba mniambie kila kitu, iwe siri au mambo ya kawaida. Yote nitayaweka moyoni (in confidence) hadi world tell them day. Ahsanteni
Guys and gals,
I offer the following services for those in the advertising industry, those with businesses or those in need of writing services.
Copywriting- coming up with attractive copy for your adverts, kiswahili na kiingereza
Website content writing- in both English and Swahili...I...
washikaji nimepata link ya TVC ya kili... lakini link ilizua mjadala, angalia posts chini basi nimeiondoa, mtu yeyote atakayeitaka ani pm, nitamtumia privately
Washikaji leo birthday yangu lakini hiyo sio ishu, ishu ni kwamba ex wangu wa mwaka wa 99 amenipigia kunipa hongera na anataka nikachukue zawadi ambayo ameniambia laiv kuwa ni ule mchezo wa siku zote.
Tatizo ni kwamba aliniacha long time: nilikuwa nahangaika sina hili wala lile sasa mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.