Search results

  1. ngoshwe

    Serikali imefanikiwa kuzuia uamuzi wa kuzilipa kampuni za madini

    Kupitia mtandao wa ICSID kuna taarifa za kutia moyo kuwa Katibu Mkuu wa ICSID amesajili maombi ya kubatilishwa kwa tuzo yaliyowasilishwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa maombi hayo, ICSID imesitisha kwa muda utekelezaji wa tuzo iliyotolewa dhidi ya Tanzania kwenye kesi iliyofunguliwa...
  2. ngoshwe

    Kichwa kuunguruma kwa mvumo

    Wadau, yupo ndugu yangu ambaye anasumbuka kwa muda sasa na amejaribu vipimo sehemu nyingi. Ilianza kidogo kidogo sasa inamsababishia shida, hawezi kulala vizuri. Kichwani anasema anahisi kama kuna vitu vina nguruma na pengine sikioni na huwa ni kama kuna mvumo fulani na wakati mwingine...
  3. ngoshwe

    Mahakama ya Rufaa yabatilisha uamuzi wa Mahakama Kuu kesi ya dhamana ya makosa makubwa

    Katika hukumu iliyotolewa leo tarehe 5 Agosti, 2020, Jopo la Majaji watano wa Mahakama ya Rufani limekubaliana na Serikali kuwa kifungu cha 148(5) cha Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Jinai ,Sura ya 20 ya Sheria za Tanzania kinachozuia dhamana kwa makosa makubwa ya jinai yakiwemo mauaji...
  4. ngoshwe

    Rufaa kupinga kufuta kifungu cha dhamana yasikilizwa

    MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA YASIKILIZA RUFAA YA SERIKALI KUPINGA UAMUZI WA MAHAKAMA KUU KUFUTA KIFUNGU CHA 148(5) CHA SHERIA YA MWENENDO WA MASHAURI YA JINAI KINACHOZUIA DHAMANA KWA BAADHI YA MAKOSA Jopo la Majaji Watano wa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania likijumuisha Majaji Mhe. Jaji Mhe...
  5. ngoshwe

    Kesi dhidi ya kupinga ubunge wa Mwambe yatupiliwa mbali kwa mara ya pili

    Shauri la Kikatiba Na.12 la mwaka 2020 lililofunguliwa na Asasi ya Civic and Legal Aid Organization dhidi ya Mhe. Spika, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Cecil Mwambe ili kupinga ubunge wa Mwmbe imetupiliwa mbali Leo tarehe 15 Juni,2020 na Mahakama Kuu. Hii ni mara ya pili ambapo Mahakama Kuu...
  6. ngoshwe

    Mahakama Kuu Dar, imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Spika Ndugai kwa kumtambua Mwambe kama Mbunge baada ya Kujiuzulu

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa uamuzi na kutupilia mbali shauri la Kikatiba Na. 10 la mwaka 2020 lililofulinguliwa na Wakili wa Kujitegemea Revocatus Paul Kaunda kupinga Kauli ya Mhe. Spika aliyoitoa Bungeni kumtambua Mhe. Cecil Mwambe kuendelea kuwa Mbunge. Mahakama Kuu kupitia...
  7. ngoshwe

    Dr. Rugemeleza Nshala unafurahishwa na Wakili Fatma Karume anavyoikashfu Mahakama, Majaji na viongozi wa nchi hii?

    Dkt Rugemeleza Nshala, sisi wanachama wenzio wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) tunakuandikia kwa masikitiko makubwa sana kuhusu malalamiko yafuatayo: Tumesikitishwa sana na Tamko lako la tarehe 23 Septemba, 2019 ulilotoa kwa Umma lenye kichwa cha habari kinachosomeka TLS GOVERNING COUNCIL...
  8. ngoshwe

    Uamuzi wa kesi aliyofungua Zitto Kabwe dhidi ya Spika kuhusu suala la CAG unatolewa leo

    Uamuzi wa ile kesi iliyofungu Mhe. Kabwe dhidi ya Spika kuhusu suala la CAG unatolewa leo saa 3 asubuhi mbele ya Mhe. Jaji Luvanda. Leo tena mchana wa Sasa 7 itafahamika hatima ya ile kesi tuliyosubiria uamuzi ya Ado Shaibu dhidi ya Mhe. kuhusu uteuzi wa AG. Mbele ya Jaji Kiongozi. Wiki...
  9. ngoshwe

    ACACIA waomba yaishe baada ya kubanwa na mawakili wa Tanzania

    Baada ya kubanwa sana katika kesi waliyofungua dhidi ya Serikali ya Tanzania, leo Acacia wameuthibitishia ulimwengu kuwa kampuni hiyo ilikuwa ikiibia nchi hii utajiri wake kwa kuomba kusitisha kesi walizofungua nje ya nchi na kukubali Tanzania imalizane na na Barrick. Acacia inasadikika kuwa...
  10. ngoshwe

    Serikali ya Tanzania yashinda kesi ya madai ya dola za Marekani 55,099,171.66 iliyofunguliwa na familia ya Vipula D. Valambhia nchini Marekani

    Serikali ya Tanzania imeshinda Kesi hii iliyofunguliwa na Familia ya Valambhia nchini Marekani. Mahakama imeona kuwa Wameshindwa kuthbitisha kuwa shughuli zinazohusisha Mkataba wa Kampuni ya Valambhia na Serikali ya Tanzania zilifanyika Marekani (suject matter jurisdiction). Tanzania itabaki...
  11. ngoshwe

    Mahakama Kuu Dodoma: Joshua Nassari ashindwa kesi yake ya kuvuliwa ubunge

    Taarifa za hivi punde kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma ni kuwa, Joshua Nassari ameshindwa katika Shauri alilofungua Dhidi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya kupinga kuvuliwa Ubunge. Kesi hiyo ambayo uamuzi wake umetolewa leo katika hatua ya...
  12. ngoshwe

    Fatma Karume, yanayofanywa na Kambole ni sahihi?

    Taarifa hii imeandikwa na Wakili wanaodai kutetea Haki za Binadamu akina Jebra Kambole kwa nia ya kujipatia kesi kinyume cha taribu za taaluma ya Mawakili na kusambazwa mitandaoni:. "..Ndugu yeyote wa washtakiwa waliohukumiwa jela leo kifungo cha maisha awasiliane nami inbox au Wakili Jebra...
  13. ngoshwe

    Barrick Gold to End Tanzania Tax Dispute very soon

    New Barrick Gold Chief Looks to End Tanzania Dispute Mark Bristow wants to resolve the tax and revenue-sharing fight; he says asset sales are possible, too Villagers searched for flecks of gold contained in rocks discarded...
  14. ngoshwe

    Natafuta vitabu vya Sekondary Kidato cha 1

    Wakuu natafuta vitabu vinavyotumika kwenye Syllabus ya Sekondari kwa Kidato cha Kwanza. Naomba nijue pa kupata
  15. ngoshwe

    Acacia shares drop amid reports of fraud office probe

    Monday 17 December 2018 3:07pm Acacia shares drop amid reports of fraud office probe Acacia's chief executive Brad Gordon stepped down last year (Source: Getty) Shares in Acacia Mining dropped earlier amid reports that the Serious Fraud Office is looking into the company’s affairs in...
  16. ngoshwe

    SFO Investigates Acacia Mining for corruption in Tanzania

    Britain’s Fraud Office Investigates Acacia Mining The allegations over corruption in Tanzania are also being looked at by Tanzanian officials Barrick Gold Executive Chairman John Thornton has proposed a resolution to the tax dispute between Tanzania and Acacia Mining...
  17. ngoshwe

    Cases against Acacia Bosses: No pressure exerted by higher authorities

    THE Director of Public Prosecution (DPP), Biswalo Mganga, has refuted claims published by some local and foreign media, including Acacia Gold Mining Company's website that his office took to court officials of three mining companies due to pressure exerted by higher authorities. Mr Mganga...
  18. ngoshwe

    Acacia Admits that arrangements, while perfectly legal, “were not equitable”

    Brad Gordon, a former chief executive of Acacia Mining agreed that the Mining Development Agreement with Tanzania were bogus. Gordon was quoted by Telegraph Saying this: Acacia boss Brad Gordon: The mining industry can be its own worst enemy
  19. ngoshwe

    Tundu Lissu, Acacia haina kesi yoyote na Tanzania

    Lissu akajipange tena. Acacia hawajawahi kufungua kesi yeyote dhidi ya Tanzania katika Mahakama ya Usuluhishi popote duniani. Tujuavyo ni kuwa, Acacia waliyasukuma Makampuni ya Madini ya Kitanzania (Pangea Minerals Ltd, Bulyahulu Mines Ltd kufungua kesi.Deo Mwanyika wala Lugendo kisheria...
  20. ngoshwe

    Acacia Mining in Big Corruption Scandal

    The Acacia official working with North Mara Gold Mine in Tanzania (NMML) (Marteen Van Der, Johanness Jensen) were on 10 October, 2018 were brought before Tarime Resident Magistrate’s Court being charged for serious corruption offences under the Prevention and Combating of Corruption Act, No...
Back
Top Bottom