Binafsi naona sasa haya makundi yakianza kuungana! Ndo chanzo cha kutengeneza uasi na amani kutoweka! Ni kama limetengenezwa jeshi la kujitegemea! Likipata vifaa! Itakuwa balaaa!
Waswahili wanasema majuu hamnazo,kweli hamnazo..akina mama wa Marekani wanaimba sheria ya nchi yao iwaruhusu kutembea vifua wazi kama wanavyoruhusiwa wanaume.Sasa wameaanzisha siku inaitwa NATIONAL GOTOPLESS DAY
Haya sasa na wabongo iga na hiyo!National GoTopless Day, Venice Beach, California -...
Huyu bwana RISASI MWAULANGA huwa namsikia japo sijuhi ana status gani hasa katika siasa za TANZANIA.LEO KATIKA KIPINDI CHA TUONGEE ASUBUHI,STAR TV amesema anaandaa mashitaka ya watu waliowahi kutoa kauli za uchochezi hasa katika majukwaa ya siasa...kama kauli ya "serikali isipofanya jambo fulani...
Wakuu,heshima mbele!
Nina I phone 3G, baada ya kuwa slow sana nikaomba ushauri kwa fundi mmoja, akaniambie ni i reset na kufuta contents zote.Nimecommand reset, tangu jana....mpaka sasa imedisplay tu logo ya apple juu na hakuna kinachoendelea..
Je nifanyeje hapo!
Nimeona leo kcm college wametoa majina ya undergraduate ( direct entry), haya hapa.Kilimanjaro Christian Medical University College | We Train Medical Health Professionals - Home
Lakini kwa wanaolijua hili naomba msaada kidogo.
Kwenye barua zao za offer wanataka ulipe 1Million kwa wale wa...
I have got a new i-phone 4s,
But I can't do much with it more than phone calls and sms!
I have tried some functions like internet---is too slow!
Camera--photo quality poor!
Sync with my computer is also not possible!
I think the problem may be is settings or the phone is not original from...
Kasisi mmoja akiwa anawahi kutoa 'huduma' mahali pa sherehe ya
heshima alisimamishwa na askari trafiki aliyejifanya serious akimzushia
yule Kasisi kwa kukiuka sheria za barabarani. Kasisi alijua hana kosa la kimsingi
isipokuwa mapungufu yasiyoepukika kama ubora wa gari ya kitanzania; mara...
Aisee wataalam wa mambo ya afya hii imekaaje!haya madawa yako hivi,au jamaa kalogwa?
A.N Mvati, AfricaNews reporter in Dar es Salaam, Tanzania
Some Tanzania men on anti-retroviral (ARV) drugs have experienced abnormal breast enlargement similar to that of women. There are even cases where...
Wakuu Habari!
Mi kwa siku kadhaa najiuliza juu ya sheria hii ya Ewura! iliyotumika kuifungia Bp kuuza mafuta kwa miezi mitatu baada ya kukaidi compliance order! Baada ya Ewura kutoa zuio,vituo vya Bp havikuuza mafuta km siku 4 hivi,baadae nikashangaa kusikia tena kuwa kilichozuiwa ni kuuza...
Hebu ona huyu mama alivyoliwa na houseboy kizembe!!!!
The husband and his wife were not on good terms. In fact, the wife was convinced that he was carrying on with the pretty housemaid, so she laid a trap.
One evening she suddenly sent the maid home for the weekend, but didn't inform the...
Send to a friend Wednesday, 01 June 2011 21:09 0diggsdigg
Tumaini Msowoya, Iringa
HALMASHAURI ya Wilaya ya Makete, imeamua kuwasimamisha kazi watumishi wake watano kwa tuhuma za kujihusisha na masuala ya siasa kinyume cha kanuni za...
Kweli siasa ni kazi.....Yaani toka dar mpaka Sumbawanga,alafu watoto tu ndo wanakuja kukusikiliza...Hebu cheki hii,iko kwenye top page ya mwananchi la leo 02.06.2011
Wakuu!
Binafsi natumia atm za Umoja,na NBC,,,Mwenzi wangu anatumia CRDB na NMB....Katika ATM zote hizo hatujawahi kukutana na noti mpya!
Nauliza hivi ni kweli noti mpya hazipatikani kwenye ATM mashines? Na tatizo ni nini? AU hizi note haziko compatible na atm zetu......kuna nini hapo!
Most 'First Class' students get technical seats, some become Doctors and some Engineers.
* The 'Second Class' pass, and then pass MBA, become Administrators and control the 'First Class'.
* The 'Third Class' pass, enter politics and become Ministers and control both.
* Last...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.