Kwa wale waliomaliza kidato cha nne na unapenda kutimiza ndoto za kielimu na chuo cha USTAWI WA JAMII-DSM nafasi za maombi ziko wazi kwa wale wa ngazi za cheti.SIFA STAHIKI :Passed nne(D) na kuendelea,wahi haraka kwani nafasi hazitabiriki. fika chuoni hapo au ntafute kwa maelekezo zaid.
====...
Hatimaye KISANDU akutana na wanachuo wa chuo kikuu cha mt.Augustino kwa muda wa masaa mawili na kubadilishana nao mawazo mbalimbali,aidha bwana Kisandu amepokea changamoto toka kwa wanachuo wanaosomea fani ya jamih(sociology) wakiomba serikali iwaajiri mashuleni kama inavyowaajiri walimu kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.