Search results

  1. D

    Sumaye-Serikali imechangia kidato cha nne kufeli!

    Msikurupuke katika kujibu bila hoja za msingi nyinyi,kwa tatzo la mishahara ya watumishi hususani hao walimu iliboreshwa na SUMAYE akiwa na MKAPA ikumbukwe kuwa Mh.Mwinyi aliacha watumishi hususani hao waliosahaulika(walimu) wakiwa wanakimbia fani na waliona bora wafanye kazi za uvuvi kuliko...
  2. D

    Sakata la Madiwani Bukoba: Kimenuka tena!

    Mbona tatizo hili halikuwahi kujitokeza katika kipindi cha uongozi wa LWAKATARE?Lwakatare jimbo lako linakusubiri huko ngoja hzo hiana ziishe.
  3. D

    Deogratius Kisandu na Msabaha kutikisa wilayani Kahama wiki hii

    Wakazi wa kahama na maeneo ya jirani wanaarifiwa kuwa jumamosi na jumapili wiki hii katibu wa uhusiano na uenezi taifa kitengo cha vijana wa nccr-mageuzi ndugu deogratius kisandu na mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa(nec) nccr-mageuzi ndugu hemed msaba kanoni watakuwa na mkutano wa hadhara...
  4. D

    Waliopata div 4 za mwanzo 26 na 27 kwenda a-level

    wala wasijidanganye taratibu za baraza na wizara ni zilezile.
  5. D

    Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    Kwa wale waliomaliza kidato cha nne na unapenda kutimiza ndoto za kielimu na chuo cha USTAWI WA JAMII-DSM nafasi za maombi ziko wazi kwa wale wa ngazi za cheti.SIFA STAHIKI :Passed nne(D) na kuendelea,wahi haraka kwani nafasi hazitabiriki. fika chuoni hapo au ntafute kwa maelekezo zaid. ====...
  6. D

    Kisandu live na wanachuo wa saut.

    Hatimaye KISANDU akutana na wanachuo wa chuo kikuu cha mt.Augustino kwa muda wa masaa mawili na kubadilishana nao mawazo mbalimbali,aidha bwana Kisandu amepokea changamoto toka kwa wanachuo wanaosomea fani ya jamih(sociology) wakiomba serikali iwaajiri mashuleni kama inavyowaajiri walimu kwani...
  7. D

    Necta csee 2003

    Ntayapataje kutazama matokeo ya mtihani kidato cha nne 2003?
  8. D

    Kenya election

    jamani vipi Kenya nani anongoza?:nono::nono:
  9. D

    Juliana Shonza amlipua Mbowe

    Naomba ktk kipindi kama hiki usijaribu kupost chochote kwani unatafrika tofuaut.
  10. D

    Viongozi wote MOEVT jiuzuruni kabla ya amri ya Amiri Jeshi ama shinikizo la Bunge

    Hapana mi sikubaliani na suala la kuwatoa hao viongozi wa necta kwani tatizo c wenyewe bali tatizo ni serikali kuu wanaosababisha tatizo la matokeo kwa kushindwa kuwatimizia madai ya walimu.
Back
Top Bottom