Bunju "B" - Viwanja vya Mradi (Karibu na soko jipya) vimegeuka kuwa mapori na hii inatishia usalama wa wakazi wa eneo hilo.
Kwa kuwa hii kero imekuwa ya muda, sasa kuna maadalizi ya kumualika Mh. Waziri ili atupe mwongozo ni nini hasa kifanyike dhidi ya wenye umiliki wa hivi viwanja.
Kama una...
Remarks by President Obama to the People of Africa
Mandela Hall
African Union Headquarters
Addis Ababa, Ethiopia
2:07 P.M. EAT
THE PRESIDENT: Thank you. (Applause.) Thank you so much. Madam Chairwoman, thank you so much for your...
Wakuu
Nahitaji fundi wa kutengeneza printers aina ya Tally - hasa hasa T2280+ na T2265+
Waweza ku-PM au tuma text/piga simu nambari +255766140044
Natanguliza Shukrani
Hizi ndizo nyimbo/muziki bora wa Injili nilipata kusikiliza
************************************
1. Katika Viumbe Vyote
2. Mmoja wa Wanasheria
3. Mtu Ajaribiwapo
4. Mtu Mkubwa Mmoja
5. Neno Alikuwa kwa Mungu
6. Nyumba Juu ya Mwamba
7. Samsoni Mnadhiri
8. Twasoma Mwezi wa Sita
9. Ufunuo wake...
Wakuu
Ni kampuni gani hapa Tanzania inayotoa huduma sahihi za "Umeme Jua"?
Na gharama zake ziko je? Kwa mfano, umeme wa kutosheleza kuwasha vifaa vyote vya nyumbani: e.g. Friji, Pasi, TV/Radio, Taa, e.t.c
Natanguliza shukrani
BE
Tangia alfajiri mpaka muda wa kwenda kulala mtu yupo "busy" ana-"touch-screen"...! Hii hali naamini kabisa inapunguza uwezo wa mtu wa ku-"touch-skin"...!
Baada ya familia kukosa "tamthilia" kwa karibia wiki mbili, jana nilienda kununua "decoder" ya StarTimes na "Antenna" na "Cable". Nilivunga kadri ya maelekezo lakini sikupata "signal"! Baadaye nikaamua kutumia "antenna na cable" ya zamani ya "analogia" ni kafanya "Search" nikapata "channels"...
Hawa wapandaji wa maua kando kando ya barabara wanahusika kwa kiasi kikubwa kufanya uharibifu wa mitaro ya maji. Ili kupata maji ya kumwagilia maua, wanachukua "viroba" vilivyojaa mchanga na kuviweke kwenye mitaro ili "kukinga" maji. Matokeo yake ni kuwa maji yanapoongezeka yanapanda juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.