All student or colleger sat under one measurement test!
No matter what or what, final examination are ONE ONLY, labda baadhi ya vyuo vinashindwa kukidhi teaching equips, na mengineyo madogo madogo lakini muhimu
EX-RIT-SPECIALIST!
Megalodon!
Ningependa siku moja TL, atuthibitishie juu ya uuzwaji wa mbuga ambao amekuwa akiuimba kwa vielelezo madhubuti (sales documentations) ili serekali ijitokeze na reality! Nini kimefanyika!
Amekuwa akiichafua mno, serekali kwa kusikiliza radio mbao!
KATIKA MFUMO WA CHADEMA, SIASA ZA AJABU AJABU ZA TUNDU LISSU, SIO SIASA ZENYE AKILI ZINAZOPENDWA NA MFUMO WA CHADEMA, MFUMO WA CHA CHADEMA UMEJENGWA NA VERY IRONICAL STRONG SYSTEM ZISIZO ZA KUROPOKA HOVYO HOVYO, IKUMBUKWE CHADEMA IMEJENGWA NA WATU WENYE AKILI TIMAMU HIGH I. Q, HIVYO TUNDU LISSU...
Safi Sana, tusiende mbali sana ni region cooperation. Mwanza na mtwara, Mbeya na tanga ruksa tu.
NAOMBA NEXT COOPERATION IWE KATI YA KILIMANJARO NA MOROGORO!
Off course yes, lakini kwa chama ambacho ndicho kingekuja kusahihisha haya yote hakikupaswa kuwa na dosari za ulafi uliopindukia maana, sasa wanatuonyesha u-mbadala wa namna na aina gani kama chama ambacho ndicho labda kinajitanabai kuwa mbadala?
Wazungu wqnatambua hilo ya kwamba Tanzania haipatani na uovu huo, hata walipojaribu kumtumia kibaraka wao juu ya haki za kifaragha lilishindikana mazima.
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.