Wadau, kama nilivyosema hapo juu. Mimi ni kabwela tu hapa mjini "Common Man". Kipato kinategemeana na kupanda na kushuka kwa thamani ya dola. Sasa nimewaza, kutungua kitu show room siwezi. Kumvua mtu bei za Ist, Alex Runx kama zipo juu (Mind you hii ni kutokqna na uwezo wangu, usilete dhihaka...
Wadau poleni na majukumu ya kulijenga taifa.
Napenda kujua,maana mara nyingi escudo zenye shape hii,ona picha huwa ni v 6 cc 1990.Je kuna zenye Cc 1590.
Na je kama watalaam wa magari mnanishauri kununua hiyo,maana ni gari ya zamani sana.Ninahofu upatilkanajinwa spare
Wadau habari.Hivi nauliza hakuna app za kuuza na kununua magari zaidi ya kupatana na Jiji.
Na je hakuna channel au magroup ya wauza magari.Si unajua tena najitagutia ka mkweche.
Wadau habari,manzanita mwenzenu kulingana na haki ya uchumi nataka kununua kagari kanakolingana na hali yangu mm kablwela.
Baada ya uchunguzi wa hapa na pale nikangukia kwenye Suzuki Swift old Model.
Je uimara wake wa Engine,ukaji wake wa mafuta na mengineyo upoje.Je mnanishaurije.
Carina bei...
Wadau,
1. Ni wapi wanauza engine za pikipiki za Honda maarufu kama Honda Manji.
2. Kama kuna mtu anauza iliyotumika bila kujalisha hali anijulishe.
Wasalam.
Habari wana jf.Nimekuwa nikipita pita kupatana.Unakutana na gari linaonekana lipo order sana,ila bei yake ni ndogo sana.Kuna muda huwa napata mashaka huenda gari hizo zimeibiwa.
Naombeni ushauri je naweza kujihadhari vipi,endapo gari kweli ni zima ila labda lina simtofahamu ili nisije kuingia...
Habari wadau,
Poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Naombeni kikuzwa kuhusu magari haya. Hasa uimara, upatikanaji wa vipuri, utumiaji wa mafuta n.k
1. Toyota Corsa
2. Nissan Tiida.
Nitashukuru sana
Wadau, hii kero ya mafuta haivumiliki sasa.
Baadhi ya Miji kwa mfano Ifakara, Mafuta ya petroli hayapatikani. Kwenye vituo mafuta yapo ila hawauzi. Matokeo yale kuna misusulu mirefu ya pikipiki, bajaji na magari.
Wauzaji wamejifungia ndani ya vituo. Yakifika magari ya watu wazito mfano askari...
Hii nibtathmini yangu binafsi juu ya bongo flavour honours.Kwanza inaonekana waimbaji wa zamani bila kujalisha yupo au hayupo kwenye game bado wana mashabiki wengi ambao wangependa kuwa wanawaona wakiperform live.Kimbe ile imani iliyopo kwamba hawana audience ni feki kabisa.
Tathmini yangu juu...
Habari،naomba mwenye uzoefu anipe elimu juu ya hii gari naiona imeandikwa Chevrolet imefanana na Swift.
1.Ni gari gan Chevrolet gani
2.Upatikanaji wake wa vipuri
3.Matumizi yake ya maguta
4.Strength na weakness zake.
Vitz inauzwa,ipo Ifakara.Ina issue ya engine,engine iliyopo inasumbua sumbua inahitaji matengenezo au mswaki(Msema kweli kipenzi cha Mungu.Biashara za kuambiana uongo zimepitwa na wakati)
Bei maelewano.
Kwa aliye interested anicheck inbox.
Wadau habari, ili na mimi nisinyeshewe na mvua nina ka mkweche kangu ka vitz old model.
Ni spana mkononi ila kananisave. Sasa block ilikuwa imepasuka, nilipopata nyingine fundi akakata cylinder head ili apachike block.
Hakuwa makini vikombe akavirudisha kienyeji, gari inagonga sana. Nini...
Wadau habari zenu,najua humu kuna watu wabobevu sana wa masuala ya magari.Nina gari yangu Toyota Vitz Old Model.Ghafla tu speed meter na km haziomi kwenye dash board,km zipo zile zile na speed ni zero.Dash board ni ya digital.Nimeenda kwa mafundi umeme wa magari wawili tofauti.Kila mmoja naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.