Mkuu umeeleza vizuri, kumwambia mtu camera ina WiFi thenunakamata matukio ukiwa popote halieleweki kirahisi kwa watu
wasio jua CCTV camera zinafanya kazi vipi. Camera kuwa na WiFi maana yake inakuwa kama device yoyote inayokamata internet wirelessly kama Laptop, simu E.t.c Then since hiyo camera...
Umemjibu vizuri sana, Smart wameshindwa kutokana na ushindani mkali uliopo.
Kumbuka Voice sio issue sana nowadays kwenye haya makampuni, Data and VAS ndo kila kitu hivyo
inabidi uwe na credibility ya kutosha kuwin market ambayo smart walikuwa hawana. Kingine muhimu
infrastructure yao bado sana....
Si hilo tu, gym hawajifunzi boxing.kule ni kutengeneza mwili na kuuweka fiti sasa hili halikupi uwezo wa kujibu jibu hovyo usiowajua.
Wengi hupigika kwa style hii na hawakomi.
Dah kweli kabisa mkuu Nguruvi ni mmoja wa wajuvi wa mambo...ila na nyani ngabu japo mtata mtata ila ni very critical ukimuingia kichwa kichwa uunakimbia:D:D
Mkuu umeongea kitu muhimu sana, naheshimu kipawa kikubwa cha uandishi wa The Bold.
Kwenye critical thinkers I salute Kiranga, barafu. zamani kuna jamaa alikuwa anajiita Pundit simwoni akipost siku hizi....wapo wengine wengi wenye uwezo mkubwa.
Kuna shida kubwa ya kutamka tu baadhi ya vitu Kama VPN bila uelewa wa kutosha then anaongezea kuwa amezidownload na kuziwasha.
How do you download VPN na kuiwasha? Anyway labda atakuja na ufafanuzi mwingine.
TTCL inashangaza sana, wao ndo wana network kubwa nchi mzima, provider wengi wanaingia nao mikataba kutumia tower zao zilizoenea nchi nzima yet eti haohao wanawashinda.
Watumiaji wakubwa na wadogo wa internet wote kigezo chao ni reliability first, second how proactive you are pale Mteja...
Biashara ya internet inahitaji umakini wa hali ya juu. Kuna makampuni hayawezi kusurvive bila internet base on the nature of their business.
Kama washindani wako (providers) washajua uzembe wako unaosababishwa na ujinga tu, then kwakuwa we Una ki moderm na kacomputer kamoja huwezi changamoto za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.